Hakuna uhusiano wa kula chipsi yai na upungufu wa nguvu za kiume,

Hakuna uhusiano wa kula chipsi yai na upungufu wa nguvu za kiume,

Heshima zenu wakuu,

nimekua nikiona watu wengi sana wakipotosha uma kua kula chipsi yai hupelekea kupungukiwa nguvu za kiume.

Maranyingi watu wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kupotosha uma kupitia redio,magazeti, blogs, hata public forum kama jf bila kutoa facts za kisayansi(biologia) kuelezea jinsi gani kula chipsi yai hupelekea kuwahi kufika kileleni au kupunguza uwezo wa penis erection

Hali hii imepelekea wanaume wengi kuacha kula chipsi yai wakiamini kua itawapunguzia nguvu za kiume na kupelekea kufakamia ugali wa dona kama desturi

Ikumbukwe,chipsi yai inavirutubisho vya aina tatu,VIAZI ni chakula cha wanga kinachoongeza nguvu mwilini,mayai ni protein ambayo hujenga mwili na ndiyo component muhimu ya sperm,na mafuta huongeza joto.

Kwa upande wangu nimekula chipsi yai miaka nenda rudi sijawai hisi ulaji chipsi umepunguza ufanisi wa nguza za kiume

*MAMBO MUHIMU YANAYOPELEKEA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME:

1;PUNYETO/MASTERBATION.
99% ya wanaume wameshawai kupiga au wanaendelea na punyote hii haina ubishi,punyeto hulegeza misuli ya uume ambayo hupelekea kuwahi kufika mshindo au kuwa na uwezo duni wa kusimamisha,na hii ndo sababu kuu

2😛ICHA / VIDEO ZA UTUPU
hii kwa asilimia chache imepelekea kuzoea maumbile ambayo humtamanisha mwanaume,pia uvaaji nusu uchi wa kina dada umepelekea wanaume kuona viuongo kama mapaja, matiti n.k kua ni vya kawaida hata mnopokua 6 kwa 6 unaona vitu vya kawaida.

3.KUTOFANYA MAZOEZI AU KAZI ZA KUTOA JASHO
pumzi ni muhimu sana kwenye mechi,ukiwa na pumzi ndogo pia kiwango kitapungua.
pia siku hizi vijana hawafayi kazi ngumu kama kulima tangu mashuleni hadi wakiwa maofisini,zamani ilikua kawaida kijana kua na uwezo wa kulima heka 5 kwa mkono wako.ila maisha ya sikuhizi yamekua ya SOFT KOPY hakuna kazi ngumu ngumu.

4:MAGONJWA

Magonjwa kama kisukari,shinikizo la damu, ngiri hupunguza saana ufanisi wa jogoo

hivyo basi niwatoe wasi wasi wanaume/vijana wajiamini, na wasipate wasiwasi juu ya ulaji chipsi yai,maana kwetu mbeya ndio chakula chetu.

Nyiyi ambao hua mnasema wanaume/vijana wa sikuizi wamepungukiwa nguvu za kiume sababu ya kula chipsi yai huo uthibithitisho wa kisayansi mmeutoa wapi?

kama unaushaidi tiririka

note,kwa kupunguza maswali,mimi ni mwanaume wa mikoani

nawasilisha
Kwenye magonjwa nadhani ongeza na vidonda vya tumbo
 
1,2,3,4....hizo points nakubaliana nazo ....upungufu wa nguvu za kiume mara nyingi unasababishwa na kutokula vyakula vya asili.....sasa je? chips yai ni chakula cha asili...?...we kula ugali wa kutosha(especially DONA)mihogo,viazi na magimbi(majimbi) mboga chukuchuku...iwe mboga za majani zooote isipokuwa chinese(chainizi).nyama, samaki, maziwa..na nafaka iwe ni njegere,choroko,maharage.....ukilala usiku bao linajipiga lenyewe....ka hutaki endelea kula''kiepe'' ili demu wako akukimbie
,
 
Mi huwa sielewi. Chipsi ni viazi. Viazi ni wanga. vinakaangwa na mafuta. Mihogo ni wanga, inakaangwa kwa mafuta. Mayai ni protein. Samaki ni protein. Kuku ni protein. Tuambieni, tatizo CHIPSI? Mafuta ama Protein? Kama tatizo kukaa DSM, na nyie njooni, DSM hakuna viza!
 
TE="bullar, post: 18775143, member: 240923"]kwa mbaaali naona una point ya msingi
Mkuu hio avatar yako inanikumbusha enzi zangu nachek porn, huyo mtoto anaitwa carmen Kinsley hio movie kacheza na binti anaitwa summer(ffm)
Dah nlikuaga legend

Nb: i dont condone pornView attachment 443473

View attachment 443473[/QUOTE]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] the legend in action, wanasemaga ng'0mbe hazeeki maini
 
Mleta mada uko correct sana kwa mujibu wa science ila nakuhurumia mana watakuja wale watupori na kuku
 
Heshima zenu wakuu,

nimekua nikiona watu wengi sana wakipotosha uma kua kula chipsi yai hupelekea kupungukiwa nguvu za kiume.

Maranyingi watu wamekua wakitumia mitandao ya kijamii kupotosha uma kupitia redio,magazeti, blogs, hata public forum kama jf bila kutoa facts za kisayansi(biologia) kuelezea jinsi gani kula chipsi yai hupelekea kuwahi kufika kileleni au kupunguza uwezo wa penis erection

Hali hii imepelekea wanaume wengi kuacha kula chipsi yai wakiamini kua itawapunguzia nguvu za kiume na kupelekea kufakamia ugali wa dona kama desturi

Ikumbukwe,chipsi yai inavirutubisho vya aina tatu,VIAZI ni chakula cha wanga kinachoongeza nguvu mwilini,mayai ni protein ambayo hujenga mwili na ndiyo component muhimu ya sperm,na mafuta huongeza joto.

Kwa upande wangu nimekula chipsi yai miaka nenda rudi sijawai hisi ulaji chipsi umepunguza ufanisi wa nguza za kiume

*MAMBO MUHIMU YANAYOPELEKEA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME:

1;PUNYETO/MASTERBATION.
99% ya wanaume wameshawai kupiga au wanaendelea na punyote hii haina ubishi,punyeto hulegeza misuli ya uume ambayo hupelekea kuwahi kufika mshindo au kuwa na uwezo duni wa kusimamisha,na hii ndo sababu kuu

2😛ICHA / VIDEO ZA UTUPU
hii kwa asilimia chache imepelekea kuzoea maumbile ambayo humtamanisha mwanaume,pia uvaaji nusu uchi wa kina dada umepelekea wanaume kuona viuongo kama mapaja, matiti n.k kua ni vya kawaida hata mnopokua 6 kwa 6 unaona vitu vya kawaida.

3.KUTOFANYA MAZOEZI AU KAZI ZA KUTOA JASHO
pumzi ni muhimu sana kwenye mechi,ukiwa na pumzi ndogo pia kiwango kitapungua.
pia siku hizi vijana hawafayi kazi ngumu kama kulima tangu mashuleni hadi wakiwa maofisini,zamani ilikua kawaida kijana kua na uwezo wa kulima heka 5 kwa mkono wako.ila maisha ya sikuhizi yamekua ya SOFT KOPY hakuna kazi ngumu ngumu.

4:MAGONJWA

Magonjwa kama kisukari,shinikizo la damu, ngiri hupunguza saana ufanisi wa jogoo

hivyo basi niwatoe wasi wasi wanaume/vijana wajiamini, na wasipate wasiwasi juu ya ulaji chipsi yai,maana kwetu mbeya ndio chakula chetu.

Nyiyi ambao hua mnasema wanaume/vijana wa sikuizi wamepungukiwa nguvu za kiume sababu ya kula chipsi yai huo uthibithitisho wa kisayansi mmeutoa wapi?

kama unaushaidi tiririka

note,kwa kupunguza maswali,mimi ni mwanaume wa mikoani

nawasilisha
Naomba mtaalam utupe solution kwa watu waliowahi kufanya masterbeshen wafanyenin ili kurudisha uweza wa nguvu zao?,asante
 
Naomba mtaalam utupe solution kwa watu waliowahi kufanya masterbeshen wafanyenin ili kurudisha uweza wa nguvu zao?,asante

fanya zoezi moja linaitwa kegel exercise

pia waache masterbation
 
Mleta mada uko correct sana kwa mujibu wa science ila nakuhurumia mana watakuja wale watupori na kuku

tatizo watu hua wanachokisoma au kusikia seemu ndo wanakichukua kama kilivyo

kwa akili ya kawaida,unazani chipsi zimianza kuliwa miaka hii?
 
Chipsi ni viazi ni kweli vitakupa nguvu, hayo mayai yanatoka kiwandani au kwa kuku ambaye ameshindiliwa sana dawa ambazo mpaka wewe unakula bado dawa zinakua active.

Mafuta yanayotumiwa kuandaa chakula husika si rafiki katika kuimarisha afya ya mlaji kwanza hua hayamwagwi pili huwa wanatumia mafuta ya gharama nafuu ambayo yana lehemu.
Hiyo lehemu ukijumlisha na yale madawa unapata bomu ambalo dalili zake ni kitambi, matako na moyo kuwa na shida, kwa vile kusimama kwa ub00 kunahusisha damu kujaa mishipani hii damu inakua haipiti ipasavyo au haipiti kabisa hivyo kupelekea uhanithi.
Chips mayai ni junk food, kama una mpango na mwili wako usigeuze junk food kuwa kama pumzi kwako kwamba ni lazima uivute.

Sababu namba moja na namba mbili za kupunguza nguvu za kiume ni uongo. Umenikera.
Wewe ni mpiga nyeto eeeeh??!!
 
Chipsi ni viazi ni kweli vitakupa nguvu, hayo mayai yanatoka kiwandani au kwa kuku ambaye ameshindiliwa sana dawa ambazo mpaka wewe unakula bado dawa zinakua active.

Mafuta yanayotumiwa kuandaa chakula husika si rafiki katika kuimarisha afya ya mlaji kwanza hua hayamwagwi pili huwa wanatumia mafuta ya gharama nafuu ambayo yana lehemu.
Hiyo lehemu ukijumlisha na yale madawa unapata bomu ambalo dalili zake ni kitambi, matako na moyo kuwa na shida, kwa vile kusimama kwa ub00 kunahusisha damu kujaa mishipani hii damu inakua haipiti ipasavyo au haipiti kabisa hivyo kupelekea uhanithi.
Chips mayai ni junk food, kama una mpango na mwili wako usigeuze junk food kuwa kama pumzi kwako kwamba ni lazima uivute.

Sababu namba moja na namba mbili za kupunguza nguvu za kiume ni uongo. Umenikera.
mie sidhan kama kuna chemistry ya kutengeneza yai LA kuku kwa industry
ndugu nguvu inaweza kupungua kwa namna hii
mafuta yanayo pikiwa kile chakula yanaweza kuongeza kiwango cha cholesterol kwenye mishipa ya damu ikiwepo mishipa ya uume ambayo inachangia kwenye erectile stamina hivyo unashauliwa upate vyakula ambavyo unaweza pata vitamin E na C.
 
Back
Top Bottom