Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 3,978
- 6,739
- Thread starter
- #21
Ishi sana MkuuSoma Genesis 3:16
"Akamwambia mwanamke: “Nitazidisha sana uchungu wa mimba yako; utazaa watoto kwa uchungu, nawe utamtamani sana mume wako, naye atakutawala"
Muumba mwenyewe ndo alifanya iwe hivyo, mnavotafuta usawa na wanaume ni nmataka kumprove wrong aliyewaumba, ndomana hamtakaa mfanikiwe ktk hilo.