Ibn Ayoub
JF-Expert Member
- Dec 20, 2015
- 2,237
- 3,081
Hapo chacha uchiteme uchimungunye na wala uchimezeHata wahesabu kura sasa Hawana hiyo Nguvuu...!! Bora kibaki chama cha Nyerere tujue mojaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo chacha uchiteme uchimungunye na wala uchimezeHata wahesabu kura sasa Hawana hiyo Nguvuu...!! Bora kibaki chama cha Nyerere tujue mojaa
Tuwaache wakichoka sawa wasipochoka yote sawa.hata mimi kuanzia sasa sipigi kurasasa tufanyeje mkuu?
Hapo ndipo inapopatika kama gori ni gori na kama sio gori ni goriKuna muunganiko wa jeshi la polisi tume ya uchaguzi na ccm wametengeneza chama cha siasa kimoja ni hatari sana kwa sasa hapa nchini wanajiandikia idadi ya kura wazitakazo.
Usikate tamaa mkuu! Giza linapozidi ndio mapambazuko yanakaribia. Tupige kura mpaka waone aibu kuibaTuwaache wakichoka sawa wasipochoka yote sawa.hata mimi kuanzia sasa sipigi kura
Wakita watuongoze miaka yote ya maisha ila sio kunichoresha eti napiga kura ya nn sasa wakati anayeshinda wanamjua hata kabla ya kupiga kura yaani wanatangaza na kuharibu pesa za nchi buree bora tusingekuwa tinachagua kabisa si kwa figisu hizohata mkisusa wenzenu watafanya figisu figisu washinde
Uko sahihi kabisa na siku zinvozidi kwenda wapiga kura wataplbaki kuwa wa kijani tu wanajua kura zao zinalindwa na sio wa vyama pinzaniMPIGA KURA HAWEZI KUAMUA MSHINDI BALI MHESABU KURA NDIYE ANAYEAMUA NANI ASHINDE.
Wanaopiga kura hadi leo hao ni washamba tu upige ili iwejeKwa nchi ilipofika sasa hakuna kitu cha Kipuuzi Kama kuacha mambo yako na kwenda kupiga KURA ukitegemea kura zitaamua nani awe mshindi...!! Bora ulalee nyumbani tu....
Nakwambia hata Chadema tu wakapiga Kura Bado CCM itashindaaa....!!Usikate tamaa mkuu! Giza linapozidi ndio mapambazuko yanakaribia. Tupige kura mpaka waone aibu kuiba
Wakita watuongoze miaka yote ya maisha ila sio kunichoresha eti napiga kura ya nn sasa wakati anayeshinda wanamjua hata kabla ya kupiga kura yaani wanatangaza na kuharibu pesa za nchi buree bora tusingekuwa tinachagua kabisa si kwa figisu hizo
Bora zamani kura ya Urais ilikuwa inajulikana hata iweje Fisiem inashinda Ila kwa sasa hiyo 2020 hata Diwani Hashindiii....!!Wakita watuongoze miaka yote ya maisha ila sio kunichoresha eti napiga kura ya nn sasa wakati anayeshinda wanamjua hata kabla ya kupiga kura yaani wanatangaza na kuharibu pesa za nchi buree bora tusingekuwa tinachagua kabisa si kwa figisu hizo
Yaani taabu iko pale pale hawa jamaa ni janga zaidi ya ukimwiKuna muunganiko wa jeshi la polisi tume ya uchaguzi na ccm wametengeneza chama cha siasa kimoja ni hatari sana kwa sasa hapa nchini wanajiandikia idadi ya kura wazitakazo.
Ni kupotezaa muda tukura hazina impact yeyote kwa sasa.
ANGEANZA KWANZA KUELEZA ALIFIKAJE PALE NEC?Mbona Lubuva kishasema tume yake ni huru na hakuna mwenye ubavu wa kuiingilia ?
ziwe nyingi wapi? hizo anapewa ccmMi napiga kura mpka ziwe nyingi