2sexy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2020
- 682
- 1,529
Yaan wezi proTigo wezi balaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan wezi proTigo wezi balaa.
NomaHatari sana
Nitatizo hueenda wanadukua nambaHawa jamaa wa Mdundo DJ Mixes wapuuzi sana wanaunga wateja bila ridhaa yao wakiona tuu una salio.Voda acheni hiyo kitu.
Kwa Tanzania sio ajabu kuacha salio kwenye mtandao labda Vodacom (imenitokea)salio la muda wa maongezi baaye ukajikuta salio limepungua au kukatwa.
Ni nadra uweke salio labda 1000 usijiunge baada ya siku 3 ukakuta salio limekatwa ukipiga simu utaambiwa Kuna huduma ulijiunga na kiuhalisia hukuwahi kujiunga. Je, ni nani anayejiunga bila ridhaa?
Bado naendelea na utafiti wangu
View attachment 3043031
Mitandao imekuwa janga kwelikweliNitatizo hueenda wanadukua namba
Sio Serikali ni watuWanatumwa maokoto ya lazima na BUMUNDA, serikali ya CCM imechafuka kila mahala.
AaaahaaaaKumbe matajiri wanapenda vitu vibovu mana eyateli internet yao speed ni mbovu kabisa
Waziri ni Serikali nduguSio Serikali ni watu
Kichizi kichizi aniii...... mbaya enyeweeAirtel ya kiwaki. Kuna siku ikiwakazia network mnasumbuka kichizi
Ujamuelewa wewe,unazuia matumizi bila bando hili hela yako Kama hujajiunga na kifurushii haitumikii inabak hivyo hivyo mpaka ujiungeSimu ndogo hata siitumii
Hela inaishaje bila kutumia Call, sms, au Internet? Jibu Swahili hiliUjamuelewa wewe,unazuia matumizi bila bando hili hela yako Kama hujajiunga na kifurushii haitumikii inabak hivyo hivyo mpaka ujiunge
Juzi na Mimi nilipigwa na Halotel tukio kama hili......Kwa Tanzania sio ajabu kuacha salio kwenye mtandao labda Vodacom (imenitokea)salio la muda wa maongezi baaye ukajikuta salio limepungua au kukatwa.
Ni nadra uweke salio labda 1000 usijiunge baada ya siku 3 ukakuta salio limekatwa ukipiga simu utaambiwa Kuna huduma ulijiunga na kiuhalisia hukuwahi kujiunga. Je, ni nani anayejiunga bila ridhaa?
Bado naendelea na utafiti wangu
View attachment 3043031
Wizi hamna kingine.....Kwa mwezi wanaingiza pesa nyingi Kwa zurumaHela inaishaje bila kutumia Call, sms, au Internet? Jibu Swahili hili
Kwa Tanzania sio ajabu kuacha salio kwenye mtandao labda Vodacom (imenitokea)salio la muda wa maongezi baaye ukajikuta salio limepungua au kukatwa.
Ni nadra uweke salio labda 1000 usijiunge baada ya siku 3 ukakuta salio limekatwa ukipiga simu utaambiwa Kuna huduma ulijiunga na kiuhalisia hukuwahi kujiunga. Je, ni nani anayejiunga bila ridhaa?
Bado naendelea na utafiti