Kama hii mada itaondolewa ndani ya dakika mbili ni mtihani kwa mods.
Kama nikipata BAN i will happily receive it,
Haiingii akilini kuwa watu waliokuwa wanashikiliwa na vyombo vya dola kwa kuvunja sheria halali za nchi eti WAMEACHIWA HURU kwa sababu ya shinikizo la watu wanaoabudu nao katika imani moja.huu ni UPUMBAVU,UJUHA na USENGErema na UKATAVI katika nchi hii,imekuaje serikali iwashikilie watu kwa kuvunja sheria afu wanaachiwa eti kwa sababu waumini wenzao,Gimme break,ntarudi NO MATTER HOW!
Jamani mkiendelea kujadili hayo, ndugu zetu wamevamiwa na kundi la waliotoka maandamano kule Kigogo, traffic police wamekimbia, watu wamepigwa kwenye daladala, konda amevuliwa nguo akabaki uchi na watu wametokea madirishani.
Habari ndiyo hiyo!
Hilo kundi itakuwa limetoka Kanisani lengo likiwa kuuchafua uislamuJamani mkiendelea kujadili hayo, ndugu zetu wamevamiwa na kundi la waliotoka maandamano kule Kigogo, traffic police wamekimbia, watu wamepigwa kwenye daladala, konda amevuliwa nguo akabaki uchi na watu wametokea madirishani.
Habari ndiyo hiyo!
Huna akili wewe Mpumbavu mkubwa, hivi unashindwaje kuwalaumuKama hii mada itaondolewa ndani ya dakika mbili ni mtihani kwa mods.
Kama nikipata BAN i will happily receive it,
Haiingii akilini kuwa watu waliokuwa wanashikiliwa na vyombo vya dola kwa kuvunja sheria halali za nchi eti WAMEACHIWA HURU kwa sababu ya shinikizo la watu wanaoabudu nao katika imani moja.huu ni UPUMBAVU,UJUHA na USENGErema na UKATAVI katika nchi hii,imekuaje serikali iwashikilie watu kwa kuvunja sheria afu wanaachiwa eti kwa sababu waumini wenzao,Gimme break,ntarudi NO MATTER HOW!
Tatizo lenu mnasikia Raha sana damu ya muislamu ikimwagika
au hata mkisikia anateseka. Ndiyo maana wakati ule wapemba
na Waislamu wa Mwembechai wanateketea Kwa Amri ya PADRE
Mulifurahi sana.
Huna akili wewe Mpumbavu mkubwa, hivi unashindwaje kuwalaumu
waliotoa takwimu za uongo wakati sheria inasema wazi kuwa ni kosa.
Dada yenu wa kanisa alipoulizwa akasema sheria haina meno kwa hiyo
sheria hiyo ipo kwa ajili ya waislamu tu?
Wewe ni IBILISI.
Tatizo lenu mnasikia Raha sana damu ya muislamu ikimwagika
au hata mkisikia anateseka. Ndiyo maana wakati ule wapemba
na Waislamu wa Mwembechai wanateketea Kwa Amri ya PADRE
Mulifurahi sana.
Ni lazima yatokee hayo,wanaogopa nini!? wanaweza kuenda wizara ya mambo ya ndani na sheria zikabadilishwa pasipo hata kuli consult bunge, raisi ni mwenzao, makamu ni wao, wa zanzbar nae ni wao,Said mwema ni wao,Ramadhan Ighondu !!? they can do anything!!