Nedago
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 908
- 1,350
Watu wanachonga Sana Mara baada ya simba SC kupigwa tano -kwa bila na As vita club.lakini wanashindwa kujua kuwa hilo ni kawaida almost duniani kote,ukiangalia Jana hata timu kubwa Kama Tp mazembe kapigwa 3-0 ugenini.na hiyo ni kawaida kwa mechi za ugenini za Africa na dunia Kiujumla,na kwa mechi ya Jana utaona simba waliposesi Sana mpira ila hawakuwa na hatari na kumbuka lile dimba la kinsasha As vita hawajawai kuiacha timu yoyote salama.kwaio simba si ya kwanza na watu msiione kuwa ni mbovu kiivyo nadhani wamejifunza kitu na nategemea watabadilika mechi ijayo na Al ahly na zingine zijazo hapa bongo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app