Tuukubali ukweli kwamba kila nabii na zama zake. Tuliona miaka ya elfu mbili mastaa kama Professor Jay, Ngwea, Fid Q, Kalapina, Juma Nature n.k, wakitawala Hip Hop huku Fid Q ndio akivaa taji.
Zama zikapita, zikaja zama za 2010, tukaona vipaji kama Roma, Stamina, Young D, Young Killer, Dogo Janja, Weusi, blah blah, huku Roma akivaa taji.
Wakavuma lakini nao wameanza kufifia, kinaibuka kizazi hiki cha kina Lunya, Rapcha na madogo wengine wengi, lakini itoshe kusema kuwa Lunya ndiyo kavaa taji la Hip Hop sasa, hilo halina ubishi. Aina yake ya kutiririka hakuna wa kumkalisha kwa sasa, hilo halina ubishi aisee!
Zama zikapita, zikaja zama za 2010, tukaona vipaji kama Roma, Stamina, Young D, Young Killer, Dogo Janja, Weusi, blah blah, huku Roma akivaa taji.
Wakavuma lakini nao wameanza kufifia, kinaibuka kizazi hiki cha kina Lunya, Rapcha na madogo wengine wengi, lakini itoshe kusema kuwa Lunya ndiyo kavaa taji la Hip Hop sasa, hilo halina ubishi. Aina yake ya kutiririka hakuna wa kumkalisha kwa sasa, hilo halina ubishi aisee!