Hakuna wa kuyatabiri maisha ya Mainda.

Hakuna wa kuyatabiri maisha ya Mainda.

MKONGWE kutoka kiwanda cha sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema kuwa, hapa duniani hakuna ambaye anaweza kuyatabiri maisha yake yajayo isipokuwa Mungu pekee.

Mainda alisema , kumekuwa na tabia ya baadhi ya watu kuwatabiria wenzao maisha yao kama vile wao ndiyo waliowaumba, jambo ambalo siyo sahihi.

“Sipendi kabisa mtu anitabirie maisha yangu…ooh…huyu yupo hivi, mara hivi, mara amefilisika, jambo ambalo ni baya sana katika maisha yetu ya kila siku maana ni Mungu pekee ndiye anayepanga maisha yetu,” alisema Mainda.

View attachment 615450
Wewe maisha yako vipi?
 
Dada wa kitambo sana toka nipo primary alikua anavutia sana kipind kile na lulu alikua kijidogooo leo hii wanaonekana kama umri sawa na lulu[emoji2] [emoji2] kwel huyu dada ni ki model
 
Kuna movie kanumba alikuwa na ukimwi alimpa mistari mainda akaeleweka.Kwa ile mistari hakuna mwanamke wa kukugomea asee Labda pesa iwe kikwazo.mimi nimewagegeda wengi sana kwa iyo mistari
Kanumba alizungushwa sana hadi aje amkubalie, kila akimtokea hom kwake anakutana na kaka yake Maindi, mchizi anajabu kumsukumiza kwa Kanumba,

Mwisho Mainda akaja akamwelewa ila kanumba akakataa kumgonga.. Au siyo hiyo
 
Kanumba alizungushwa sana hadi aje amkubalie, kila akimtokea hom kwake anakutana na kaka yake Maindi, mchizi anajabu kumsukumiza kwa Kanumba,

Mwisho Mainda akaja akamwelewa ila kanumba akakataa kumgonga.. Au siyo hiyo
Hiyo hiyo man nimewagegedea wengi sana na iyoo mistari
 
Kanumba alizungushwa sana hadi aje amkubalie, kila akimtokea hom kwake anakutana na kaka yake Maindi, mchizi anajabu kumsukumiza kwa Kanumba,

Mwisho Mainda akaja akamwelewa ila kanumba akakataa kumgonga.. Au siyo hiyo
Wakati huo Kanumba alishatongozwa wee amemkatalia dada wa watu keshamove on ndo anarudi
 
Back
Top Bottom