Kwahiyo sahivi anatumia lipi?Alibadili dini
Wewe maisha yako vipi?MKONGWE kutoka kiwanda cha sinema za Kibongo, Ruth Suka ‘Mainda’ amesema kuwa, hapa duniani hakuna ambaye anaweza kuyatabiri maisha yake yajayo isipokuwa Mungu pekee.
Mainda alisema , kumekuwa na tabia ya baadhi ya watu kuwatabiria wenzao maisha yao kama vile wao ndiyo waliowaumba, jambo ambalo siyo sahihi.
“Sipendi kabisa mtu anitabirie maisha yangu…ooh…huyu yupo hivi, mara hivi, mara amefilisika, jambo ambalo ni baya sana katika maisha yetu ya kila siku maana ni Mungu pekee ndiye anayepanga maisha yetu,” alisema Mainda.
View attachment 615450
Kaangukiwa na kabatiKulikuwa na minong'ono ya kuwa kaukwaa!, kwani alikuwa mchuchu wa marehemu Maxi...
Kanumba alizungushwa sana hadi aje amkubalie, kila akimtokea hom kwake anakutana na kaka yake Maindi, mchizi anajabu kumsukumiza kwa Kanumba,Kuna movie kanumba alikuwa na ukimwi alimpa mistari mainda akaeleweka.Kwa ile mistari hakuna mwanamke wa kukugomea asee Labda pesa iwe kikwazo.mimi nimewagegeda wengi sana kwa iyo mistari
Hiyo hiyo man nimewagegedea wengi sana na iyoo mistariKanumba alizungushwa sana hadi aje amkubalie, kila akimtokea hom kwake anakutana na kaka yake Maindi, mchizi anajabu kumsukumiza kwa Kanumba,
Mwisho Mainda akaja akamwelewa ila kanumba akakataa kumgonga.. Au siyo hiyo
Wakati huo Kanumba alishatongozwa wee amemkatalia dada wa watu keshamove on ndo anarudiKanumba alizungushwa sana hadi aje amkubalie, kila akimtokea hom kwake anakutana na kaka yake Maindi, mchizi anajabu kumsukumiza kwa Kanumba,
Mwisho Mainda akaja akamwelewa ila kanumba akakataa kumgonga.. Au siyo hiyo
Amechoka bana huyu zamani alikuwa mrembo kweli sio sasa katumika mnokimodel had raha
Mkuu wa wilaya ya wanging'ombe!Ndiyo nani hapa nchini.
Ok ndiye huyu kumbeMkuu wa wilaya ya wanging'ombe!
Siku hizi sanaa ya Tanzania inategemea sana ukubwa wa makalio ya mwanamke, uzuri wake.. Kama ingekuwa bado ni kipaji basi huyu mwanamama bado kipaji kipo!Huyu itakuwa kafilisika haya mapovu si bure