kajamaa kadogo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2018
- 2,707
- 6,437
father alikuwa katibu wa kijiji hapo nipo standard seven ila nilikuwa clever vibaya ila sijisifiiWaliokuwa navyo wengi walikuwa watoto wa bwana shamba,mwenyekiti wa kijiji au kule mjini mtoto wa afisa anaefanya kazi bomani (halmashauri etc)
Daaah enzi hizo nintendo DS na Super mario wake.Kuna Nintendo pia
kuna ile ya kufungua na kufunika nayo ilitamba kinoma
Ilivyokuwa popoma ukamfuata?[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kuna jamaa aliniambia nikamuite dada yangu kisa hako kadude.
Utoto ni upuuzi sana.
Katibu wa kijiji ndyo cheo gani?father alikuwa katibu wa kijiji hapo nipo standard seven ila nilikuwa clever vibaya ila sijisifii
Hahahaaaa nikafiki ISTWalikuwa wananata sana kama vile wazazi wao wanamiliki dunia. Bila shaka mtakuwa ni wajumbe wa bodi ya michezo ya kubahatisha au wakurugenzi wa Kampuni za kubeti. View attachment 1089037
Sema wa equivalent na kifaa hicho wapo humu pia...Walikuwa wananata sana kama vile wazazi wao wanamiliki dunia. Bila shaka mtakuwa ni wajumbe wa bodi ya michezo ya kubahatisha au wakurugenzi wa Kampuni za kubeti. View attachment 1089037
Mtafute airudishe kwa rate ya leo hiyo ni kama buku 15 au 20 kabisa