Hakuna watu wananikera whatsapp kama hawa kina "Samahani naitwa fulani nilikuwa naomba urafiki

Hakuna watu wananikera whatsapp kama hawa kina "Samahani naitwa fulani nilikuwa naomba urafiki

round kick

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2025
Posts
345
Reaction score
1,145
Na siku hizi wamekuja tofauti, zamani unatumiwa ujumbe moja kwa moja, sikuhizi utatumiwa meseji habari yako, hellow, vipi, n.k.

Unaweza kudhani ni mtu mnafahamiana labda huna namba yake, unamjibu kwa heshima ghafla unatumiwa meseji "Samahani naitwa fulani nilikuwa naomba urafiki naomba unisevu na mimi nikusave"
 
Na siku hizi wamekuja tofauti, zamani unatumiwa ujumbe moja kwa moja, sikuhizi utatumiwa meseji habari yako, hellow, vipi, n.k. unaweza kudhani ni mtu mnafahamiana labda huna namba yake, unamjibu kwa heshima ghafla unatumiwa meseji "Samahani naitwa fulani nilikuwa naomba urafiki naomba unisevu na mimi nikusave"
Jitoe kwenye hizo groups za madalali
 
Wanapata namba zako kwenye magroup uliyojiunga au kuungwa
 
Moja ya sababu iliyonifanya nikafuta WhatsApp . Now I feel more comfortable bila WhatsApp na X
 
Back
Top Bottom