Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Hawa

Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Hawa

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Watu Ambao Wanaokaa Kwenye Viti Virefu Vya Pale Kaunta Vya Bar /Club Wakinywa Pombe.[emoji3]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wanaovaa Kibukta na Sendozi.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Waliopata Siti Kwenye Mwendokasi.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wenye Vi-Baby Walker Barabarani.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Bodaboda na Bajaji Wakati wa Foleni Kubwa.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Ambao Hawana Supplimentary za Mitihani.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Yule Konda wa Daladala Ilojaza Mpaka Mlangoni.[emoji23]

[emoji419]HAKUNA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nikipataga siti kwenye mwendokasi huwa navimba kichwa mno.
 
Back
Top Bottom