Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Karibu tena chiefMambo yalikuwa mengi
ndo nimerudi now...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Karibu tena chiefMambo yalikuwa mengi
ndo nimerudi now...
Niseme mara ya ngapi etiiHakika ukisema unanipenda kigori nitajiona maisha nimeyapatia sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu demu akaachwa na 7800[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Shangazi ni kweli hata hivyo maisha wameyapatia[emoji3]Hakuna watu wanajiona maisha wameyapatia kama wanawake wenye chura
Niliwamiss sana...Karibu tena chief
Aaah Kigori wangu hakika maisha nimeyapatia.Niseme mara ya ngapi etii
Tulikumiss piaNiliwamiss sana...
[emoji23][emoji23][emoji23] hata hao waliotajwa hapo juu wameyapatiaShangazi ni kweli hata hivyo maisha wameyapatia[emoji3]
Mkuu The Boss Welcome back,kitambo sana Kaka.interesting...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Watu Ambao Wanaokaa Kwenye Viti Virefu Vya Pale Kaunta Vya Bar /Club Wakinywa Pombe.[emoji3]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wanaovaa Kibukta na Sendozi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Waliopata Siti Kwenye Mwendokasi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wenye Vi-Baby Walker Barabarani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Bodaboda na Bajaji Wakati wa Foleni Kubwa.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Ambao Hawana Supplimentary za Mitihani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Yule Konda wa Daladala Ilojaza Mpaka Mlangoni.[emoji23]
[emoji419]HAKUNA.
Huyo ndio baharia wa uhakika, ameweza kumshawishi kuja bila kuombwa nauliHahahaaa
na wale anaekuja hata nauli hajaomba je>
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu demu akaachwa na 7800[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna watu wanaona wamepatia maisha kama wale waliokabidhiwa tunguri na babu zao.
[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hakuna watu wanaojiona maisha wameyapatia kama kureply uzi then reply yake ndiyo imeongoza kwa likes nyingi.[emoji3]