Hakuna watu wanaojiona wameyapatia maisha Kama wale wanaokandia single mothers
Kutumia akili ndiyo kupoje mkuuEeeh ndio lazima ukandiww laa sivyo ungefunga chupi na kutumia akili.
haikuishia hapo wote wawili wakajaa povu! mapenzi ya utoto raha sana![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu demu akaachwa na 7800[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Hakuna watu wanajiona maisha wameyapatia kama wanawake wenye chura
hahahahahahahhaah daaaaadeqhakuna watu wanajiona wameyapatia maisha kama wale walomtumia demu nauli na akaja kweli
aiseee inaitwa cleansheet[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu demu akaachwa na 7800[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
ππππ ni kweli wala hujakosea me kuna mtu huku ananitambiaga vibaya mno.Hakuna watu wanajiona wamepatia maisha kama wenye vitambulisho vya NIDA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu demu akaachwa na 7800[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23]Hakuna watu wanaona wameyapatia maisha kama mabaharia