Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Hawa

Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Hawa

Hakuna watu wanajiona maisha wameyapatia kama wanawake wenye chura
Kweli kabisa
IMG-20190904-WA0003.jpg
 
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Watu Ambao Wanaokaa Kwenye Viti Virefu Vya Pale Kaunta Vya Bar /Club Wakinywa Pombe.[emoji3]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wanaovaa Kibukta na Sendozi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Waliopata Siti Kwenye Mwendokasi.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wenye Vi-Baby Walker Barabarani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Bodaboda na Bajaji Wakati wa Foleni Kubwa.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Ambao Hawana Supplimentary za Mitihani.[emoji23]
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Yule Konda wa Daladala Ilojaza Mpaka Mlangoni.[emoji23]
[emoji419]HAKUNA.
hakuna watu wanaojiona maisha wameyapatia kama wale walionusurika kutumbuliwa kwenye msako wa vyeti feki...
 
Hakuna watu wanaonaga wameyapatia maisha kama wale wanaotoka gym, mkononi anachupa ya maji ya kilimanjaro hawa wanaonaga wameshawin maisha kabisaa
 
[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Watu Ambao Wanaokaa Kwenye Viti Virefu Vya Pale Kaunta Vya Bar /Club Wakinywa Pombe.[emoji3]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wanaovaa Kibukta na Sendozi.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Waliopata Siti Kwenye Mwendokasi.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Wenye Vi-Baby Walker Barabarani.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Bodaboda na Bajaji Wakati wa Foleni Kubwa.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Wale Ambao Hawana Supplimentary za Mitihani.[emoji23]

[emoji419]Hakuna Watu Wanaojiona Maisha Wameyapatia Kama Yule Konda wa Daladala Ilojaza Mpaka Mlangoni.[emoji23]

[emoji419]HAKUNA.
Hakuna watu wanao jiona maisha wameyapatia kama wale watu ambao wapo WhatApp lakini huwa Hawapost kitu chochote Status.
 
Hakuna watu wanaojiona maisha wameyapatia kama wadaiwa sugu wa tala na branch
 
Na kuna wale baada ya maneno mengi wana pewa jibu la "ivi kweli unanipenda au unataka unichezee??" huwa wanajiona kwel washa yawin
 
washabiki wa Yanga nao wanaona wako juu wameyapatia maisha
 
1 Thessalonians 5:3 King James Version (KJV)
3 For when they shall say, Peace and safety; then sudden destruction cometh upon them, as travail upon a woman with child; and they shall not escape.

 
[emoji91]Hakuna watu wanaona maisha wameyspatia, kama mademu wenye TAKO kubwa Instagram [emoji91]
 
Back
Top Bottom