Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Hakuna watu wanaotia huruma kama wale ambao ....
1.kipindi wana ajira walikuwa wanawaona wasio na ajira wamebweteka sasa hivi na wao wapo kitaa
2.wenye tabia za unoko unoko za kuchongea wenzao kipindi wakiwa makazini saivi wameshastaafu na hawana connection
3.kipindi wana fedha au madaraka walikuwa wanatukana sana watu saivi hawana Kitu
4.watu waliokuwa wanawaponda waliopata zero na four wenyewe wakapata one na two mpka Leo hii bado hawajatoboa katika maisha alafu wenzao wametoka kimaisha
Haya endeleeeni
Sent using Jamii Forums mobile app
1.kipindi wana ajira walikuwa wanawaona wasio na ajira wamebweteka sasa hivi na wao wapo kitaa
2.wenye tabia za unoko unoko za kuchongea wenzao kipindi wakiwa makazini saivi wameshastaafu na hawana connection
3.kipindi wana fedha au madaraka walikuwa wanatukana sana watu saivi hawana Kitu
4.watu waliokuwa wanawaponda waliopata zero na four wenyewe wakapata one na two mpka Leo hii bado hawajatoboa katika maisha alafu wenzao wametoka kimaisha
Haya endeleeeni
Sent using Jamii Forums mobile app