Hakunaga kama Kikwete! Hivi ndivyo ilivyokuwa mwaka mpya kule Msoga

Hakunaga kama Kikwete! Hivi ndivyo ilivyokuwa mwaka mpya kule Msoga

Teh! My Mkwere katika ubora wake ila mwanamme mtamu huyuu basi tu
Heheeeeee kama nakuona ulivyofurahi.
Sure,hakuna mwanamke ambaye hatopenda kuwa na mwanaume wa aina yake.

BTW ulimuona Mzee wangu Lowassa?
2fb92894307e0875cef7175295a19340.jpg

Wazee wanaojua kura maisha
Hahahaaaaa
 
ulipopigwa wimbo wa kishing uoande ghafla kaacha kucheza naona alihisi Salma atahisi KITU
 
Sasa hivi kila unalofanya bwana j.k unasifiwa na wale wale waliokuwa wanakutusi na kukuita eti una nazi badala ya ....
kweli magu siyo mtu wa mchezo mchezo life limekuwa gumu mpaka tumekoma tunamkumbuka j.k.
 
Hapo una m-define MBONGO HALISI
Sasa hivi kila unalofanya bwana j.k unasifiwa na wale wale waliokuwa wanakutisi na kukuita eti una nazi.
kweli magu siyo mtu wa mchezo mchezo life limekuwa gumu mpaka tumekoma tunamkumbuka j.k.
 
Back
Top Bottom