Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
If he still weak, his weakness for now has no impacts to us so you is weak also because you can't differentiate timeThat doesn't legaiize his weakness... He was and still weak president Tanzania to have
Mi nilimkubali tangu enzi za utawala wake.Wengine mmemkubal akiwa keshatoka madarakani eti baada ya kumlinganisha na aliepo sasaNamkubali sana huyu mzee
Heheeeeee kama nakuona ulivyofurahi.Teh! My Mkwere katika ubora wake ila mwanamme mtamu huyuu basi tu
Sasa hivi kila unalofanya bwana j.k unasifiwa na wale wale waliokuwa wanakutisi na kukuita eti una nazi.
kweli magu siyo mtu wa mchezo mchezo life limekuwa gumu mpaka tumekoma tunamkumbuka j.k.
kweli mkuu... jamaa alikuwa anapondwa sana wanadai anajichekesha chekesha, wanadai badala ya kufanya mambo ya msingi yuko busy kupiga picha na wasanii.Hapo una m-define MBONGO HALISI
usikute siku anamwalika hadi Obama.. waje kula bata..kweli mkuu... jamaa alikuwa anapondwa sana wanadai anajichekesha chekesha, wanadai badala ya kufanya mambo ya msingi yuko busy kupiga picha na wasanii.
leo yale yale waliyokuwa wanampondea ndiyo hayo hayo wanatumia kumsifia.
Naipenda sana tz