Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
ahahhahhahhahahhhaahahhahhaMaisha ndio hayo sasa JK anajua kuenjoy life banaa.Sio kila saa mtu unawaza Katerero tu nooo kuna maisha mengine
Nani sio msafi na hapendezi akivaa suti?Wasafi huwaalika wasafi
Ha! ha! ha! Mbavu zangu mie!!Maisha ndio hayo sasa JK anajua kuenjoy life banaa.Sio kila saa mtu unawaza Katerero tu nooo kuna maisha mengine
Siri ameshaambiwa na Rais Mwinyi kwa hiyo hakuna shaka tenaKikwete kiumri ni mkubwa sana miaka 67 hivi ila ukimuangalia anaonekana yupo strong kwa sababu ya kutokuwa na chuki na watu,kuruhusu asemwe na kujua mapungufu yake ni yapi na KUJIACHIA ila sasa ukimuangalia Bw. John utafikiri ndiyo mzee kuliko Hon. JK
Hiki kiingereza kama cha chatoIf he still weak, his weakness for now has no impacts to us so you is weak also because you can't differentiate time
Tamaa zako za kijinga sana....mwanaume hasifiw stareh.....mwanaume kupiga kazi malaya kama nyie mshibe...Eeeeh bwana Kikwete ni bonge la gentleman.
Mama Salma ana bahati sana kumpata mwanaume wa aina ya Kikwete.
Mzee hatakagi stress, ni kura bataz u know hahahaaaa
And I love it
Wanao mkumbuka ni maccm tuu.Kumbe umegundua ! ni aina ya faraja ya bandia watu wanajipa mzee huyu aliitwa majina yote ya hovyo mara dhaifu mara da gama ila leo kupoza machungu watu wanamkumbuka nae alisema "mtanikumbuka "
English please!Hukufundishwa hivi.....sema huu ndo ukomo wako wa kumwelewa mwalimu wako na kujifunza
Wewe Abu Matange,nakuja.Mshamba wewe na baba Jesca kilaza
Hapana. Ni kawaida kulinganisha kipya na kilicho pita.Huyu mzee mlimponda kweli enzi zake kwa kumpa kila tusi, kweli kwa watz kila kitu bora jana.
True kabisa KakaKikwete kiumri ni mkubwa sana miaka 67 hivi ila ukimuangalia anaonekana yupo strong kwa sababu ya kutokuwa na chuki na watu,kuruhusu asemwe na kujua mapungufu yake ni yapi na KUJIACHIA ila sasa ukimuangalia Bw. John utafikiri ndiyo mzee kuliko Hon. JK