Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Ndo mana dada zenu wa kihaya wanauza nyapu sana mwananyama na tandikaMbona unawakandya wahaya, kwa taarifa yako hakuna zaidi ya katerero hapa duniani....uliza mwanamke yeyote anapenda nini kati ya kuserebuka na Kikwete au kupewa katerero, sikia atakuambiaje. Acha kina Mama waloweshe magodoro we kijana.
atakua na Mrisho Mpoto>> mm nasubiria ya CHATO SIJUI ITAFANYIKA LINI ???? >>>
Ndo mana dada zenu wa kihaya wanauza nyapu sana mwananyama na tandika
Mkuu s
Sijawakandia wahaya nimesema kuna maisha mengine bila katerero.Salute Wahaya kwa kulowesha na kupigapiga hakika ni ubunifu
Lengo la kuserebuka ndio hilo hilo- dancing is a perpendicular expression of a horizontal desire.
katerero ndio nini mkuu
Wanalowesha magodoro haswaaaaaa! Tena lile Niagara Falls la mtu mzima lililo Changanyika na bia basi inakuwa tabu. Juzi nimetupa godoro jipya kudadeki!
Seem like you are linguistically challenged , mzito wa lugha nini?Hongera kwa kukariri.....unaelewa usemacho lakini?
kweli mkuu... jamaa alikuwa anapondwa sana wanadai anajichekesha chekesha, wanadai badala ya kufanya mambo ya msingi yuko busy kupiga picha na wasanii.
leo yale yale waliyokuwa wanampondea ndiyo hayo hayo wanatumia kumsifia.
Naipenda sana tz
Hata wewe unabahati,hizo ndiyo pure tabia za "blaza"The bold,tupia tu hapa maisha yenu.Eeeeh bwana Kikwete ni bonge la gentleman.
Mama Salma ana bahati sana kumpata mwanaume wa aina ya Kikwete.
Mzee hatakagi stress, ni kura bataz u know hahahaaaa
And I love it
Huyu wa sasa mbona km ndio anarudisha nyuma maendeleo pamoja na u serious wake?Kikwete anakula maisha baada ya miaka 10 kuwalipa watu mishahara bila kufanya kazi
mi sio demu ......nifundishe nikaifanyie practise kwa demu wakoKaterero ni pepo nyingine, ina raha usisikie. Wataka kugawiwa au?
Hapa Umenena Watanzania Wengi Wanafiki Huwezi Amini Kama Huyu Ndo Alikuwa Anatukanwa Na Kila Mtanzania Rais Wa Hovyo Leo Angalia Comment Zao Lowasa Kutoka Kuwa Fisadi Hadi Rais Wa Mioyo Ya Watanzania Magufuli Kutoka Chaguo La Mungu Hadi Dikteta Asiyependwa Sijui Yupi Kwetu Atatufaa.That doesn't legaiize his weakness... He was and still weak president Tanzania to have