Malaika-Hakika
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 238
- 232
Huyu mzee mnyamwezi sana,na ndio uzuri wa kutokuwa baba mnoko kwa familia namna hii watoto wanaweza kushauri ufanye nini,uvae nini/wapi.Yaani mzee anakula pipi tuu sio kufwatiliana mara katerelo mara kashabali mweh!!!!![emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Maisha ndio hayo sasa JK anajua kuenjoy life banaa.Sio kila saa mtu unawaza Katerero tu nooo kuna maisha mengine
Thanks for correction yes continue. .....Point of correction...
You is weak [emoji735]
You are weak [emoji736]
Can I now proceed showing kikwete weakness during his reign?
we unahamu ya kukalia dushe naona.....
naona umeamua kutangaza biashara yako ya kuuza tigo....Naona bado unajichanganya....nimekuambia nitakufundisha tu, nina maana ya kukushikisha ukuta au ncha ya kitanda na ndiyo maana nimekuuliza kama bado uko bikra huko nyuma.
naona umeamua kutangaza biashara yako ya kuuza tigo....
uko na confidence nyuma ya keyboard m.aku wewe mpelekee baba yako akakufumue naona genye za nyuma zimekupanda maniner choko wewe
ndo akili za wabongo...umeulizwa swali we unawaza ushogaMkuu, kelele za nini? Nimejitolea kukupa offer ya kukufunza starehe uliyoitaka, nakushangaa unatokwa na povu. Ulikuwa hutaki mkeo ajuwe kama unashikishwa ukuta nini, samahani na mwambie nilikuwa nakutania tu pengine atakusikia.
Eeeeh bwana Kikwete ni bonge la gentleman.
Mama Salma ana bahati sana kumpata mwanaume wa aina ya Kikwete.
Mzee hatakagi stress, ni kura bataz u know hahahaaaa
And I love it
ndo akili za wabongo...umeulizwa swali we unawaza ushoga
itakua punga wewe bila shaka
dah huyu jamaa...huwa hapendi tabu kabisa
Alafu hayo mabata yao yakatusaidia nn kama taifa zaidi ya kutuletea utapeli wa richmond??LOWASSA & KIKWETE hawajaanza starehe leo.
Wanajua kula bata tangu ujana wao.
Huyu mwingine anajua kula ugali wa kisukuma tangu utotoni
Heheeeeee kama nakuona ulivyofurahi.
Sure,hakuna mwanamke ambaye hatopenda kuwa na mwanaume wa aina yake.
BTW ulimuona Mzee wangu Lowassa?
Wazee wanaojua kura maisha
Hahahaaaaa
Mabata ni nini?Alafu hayo mabata yao yakatusaidia nn kama taifa zaidi ya kutuletea utapeli wa richmond??
Mbona Huyu JK anakuwa majuu sana kuliko Bongo.Sawa kweli ni mtu wa starehe na ndio maana alipenda sana kwenda kubembea ulaya; siku hizi toka amestaafu nuru yake imepungua kwa kukosa safari za kwenda majuu!!
Mbona Huyu JK anakuwa majuu sana kuliko Bongo.
Takwimu zinaonesha kwa miaka13 ndo Mtanganyika aliyesafiri Mara nyingi zaidi kwenda mambele.
Source: Time ya Taifa ya Takwimu,JKIA.
Huyo kwenye avatar ni wewe?Magufuli ndio Rais pekee ambaye anatumia gharama za juu kwa ulinzi toka tupate uhuru..
Juzi huko rukwa helkopta 4 zilizunguka uwanja kwa muda wa saa moja eti kusafisha anga