BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
WowNakutaka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WowNakutaka
Kwani mi takataka?Nakutaka
Kwani mi takataka?
Kasie, I know you know the way I love you. I'm your great fanHabari za asubuh
hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa
hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa
kosa lako naomba msamaha mi hakunaga
ila naomba msamaha yapate ishagaaa
na wewe umenivumilia sana mi, sijaonaga
angeshakuwa kuwa mwingine keshanimwagaa
siku twagombana, siku twapatana (kawaida ya wapendanao)
wanavyokuwa (wao) wanajua tumeachana
kesho watuona si twatekenyana (ukinitekenya mie nakufinya )
kikweli mi na wewe tunape.nda.na.aaaah
hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa
hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa
mtanashati kama wewe mi kwangu hajatokeaga
na mzuri wa nafsi kama mi' hujamwonaga
tukipata pesa manofu tunakulaga
na tukikosa chai mkate tunalalaga
dunia hii dunia ya leo
muda mwingine wakosa muelekeo
nashukuru nimempata mwenye upeo
daima nataraji mae.nde.le.oooooh
hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa
hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa
Napenda vile unaniongelesha, Napenda sauti yako....
Nakupenda, daima ntakupenda na hakika sitokuacha..... na kwako nimekamatika.
Wakati huu hakuna kuku kutoka nje sio....(chicken out)🙂🙂🙂
Lo u......
Watu msiomjua kasie mtapata sana shida KUNU Elena.
She is funny.
Ilikuwa kumuelewa. Hizi auto correct nduguJirani sijakuelewa
KUNU Elena
huyu anayechimbua haya makaburi ni nani anaamsha madule yaliyo rest in peace
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]cc shunie