Hakunaga Zaidi ya Kasie na Mahalat

Hakunaga Zaidi ya Kasie na Mahalat

Habari za asubuh

hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe

hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa
hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa

kosa lako naomba msamaha mi hakunaga
ila naomba msamaha yapate ishagaaa
na wewe umenivumilia sana mi, sijaonaga
angeshakuwa kuwa mwingine keshanimwagaa
siku twagombana, siku twapatana (kawaida ya wapendanao)
wanavyokuwa (wao) wanajua tumeachana
kesho watuona si twatekenyana (ukinitekenya mie nakufinya )
kikweli mi na wewe tunape.nda.na.aaaah

hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe

hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa
hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa

mtanashati kama wewe mi kwangu hajatokeaga
na mzuri wa nafsi kama mi' hujamwonaga
tukipata pesa manofu tunakulaga
na tukikosa chai mkate tunalalaga
dunia hii dunia ya leo
muda mwingine wakosa muelekeo
nashukuru nimempata mwenye upeo
daima nataraji mae.nde.le.oooooh

hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaaa, zaidi yangu mi na wewe
hakunagaa, zaidi yangu mi na wewe

hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa
hakunaaaa, hakunagaa
hakunaaaa, hakunagaaa

Napenda vile unaniongelesha, Napenda sauti yako....
Nakupenda, daima ntakupenda na hakika sitokuacha..... na kwako nimekamatika.

Wakati huu hakuna kuku kutoka nje sio....(chicken out)🙂🙂🙂

Lo u......
Kasie, I know you know the way I love you. I'm your great fan
 
Watu msiomjua kasie mtapata sana shida kumuelewa
She is funny.
 
Haki ya nani

leo kuna mtu atajikojolea kitandani sio kwa kufukunyua huku duhhh

beib naona mwisho wa wiki hii out, suprise, na tu gift naona zileee zinaelekea kibiti
 
Back
Top Bottom