Hakunakiri Namba ya mtihani na Ajira portal iko under maintenance afanyaje?

Hakunakiri Namba ya mtihani na Ajira portal iko under maintenance afanyaje?

Huko kimataifa umeenda mbali ndugu wengine utumishi ndio mara ya kwanza kufanya interview tuache ujuaji wazembe ni hao utumishi maana kama wanaweka vitu kama hivyo kwenye account binafsi ya mtahiniiwa na account imezingua wao ndio wanaotakiwa kuutafuta alternative.
Mkuu hapa tunamzungunzia graduate, sio njuka. Graduate ni mtaalamu, na mtu ambae mwenye upeo. Sasa kama graduate mambo madogo hivi anashindwa hapo kuna tatizo kubwa
 
Wakuu, kuna aliyepitia changamoto kama hii ya ku Log in kwenye mfumo jana au leo akakuta Under maintenance?

MREJESHO: Wakuu naona mfumo umefunguka tayari mambo yako vizuri
kwa sasa inafunguka ingia
 
Namba ya usaili utaikuta kituoni muda unaosaini kuthibitisha umefika kukandwa.
 
Back
Top Bottom