Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Mkuu hapa tunamzungunzia graduate, sio njuka. Graduate ni mtaalamu, na mtu ambae mwenye upeo. Sasa kama graduate mambo madogo hivi anashindwa hapo kuna tatizo kubwaHuko kimataifa umeenda mbali ndugu wengine utumishi ndio mara ya kwanza kufanya interview tuache ujuaji wazembe ni hao utumishi maana kama wanaweka vitu kama hivyo kwenye account binafsi ya mtahiniiwa na account imezingua wao ndio wanaotakiwa kuutafuta alternative.