beatboi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 561
- 1,356
hakutatokea tena msanii mkali, mwenye kipaji cha kueleweka na watu wa lika zote kama 20%...
kipindi hicho anatoka ili msanii ukubarike ni lazima ubane pua au uwe na sauti ya kumtoa nyoka pangoni, ilikuwa ngumu kupenya mbele ya wababe wa melody kipindi hicho kama wakina mb dog, z anto,matonya nk.
mchizi alipasua katikati na sauti yake ya mkwaluzo na kuvunja na kuweka record ya kuchukua tuzo za kili 5 bila kuwa na makandokando yoyote yale sababu hadi wapinzani walikubali jamaa alistahili, baada ya hapo tuzo zikawa zimepoteza mvuto na kufa kabisa kwani walianza kupeana kiholela...
mungu amfanyie wepesi ndugu yetu arudi kwenye muziki kwani pengo lake lipo wazi...
kipindi hicho anatoka ili msanii ukubarike ni lazima ubane pua au uwe na sauti ya kumtoa nyoka pangoni, ilikuwa ngumu kupenya mbele ya wababe wa melody kipindi hicho kama wakina mb dog, z anto,matonya nk.
mchizi alipasua katikati na sauti yake ya mkwaluzo na kuvunja na kuweka record ya kuchukua tuzo za kili 5 bila kuwa na makandokando yoyote yale sababu hadi wapinzani walikubali jamaa alistahili, baada ya hapo tuzo zikawa zimepoteza mvuto na kufa kabisa kwani walianza kupeana kiholela...
mungu amfanyie wepesi ndugu yetu arudi kwenye muziki kwani pengo lake lipo wazi...