miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Asante nawe pia.. bilionea wq Jf nishawafilisi baadhi nikajisepea kimya kimya .. sa hivi nipo na wakitaa huku tunaendelea kuzisakaHeri ya Christmas mama ,mzima ? Nimemiss vimbwanga vyako vipi hujamkamata bado bilionea mmoja wa jf ?
Tabia mbaya mwenzio apasuke asione 2017[emoji125] [emoji125] [emoji125]Afadhali Nifah umenisaidia kunitetea kwa Mumeo huyo kwani nahisi na Mimi sasa ningekuwa nahangaika kutafuta Wadhamini wa kunitoa Kolokoroni. Mumeo nasikia si Mtu wa sport sport! Kuna UZI mmoja mzuri sana nitauanzisha Jumamosi ijayo asubuhi ya kati ya Saa 1 au Saa 2 naomba usiukose Dada yangu sawa? Najua siku hiyo utacheka hadi kupasuka!
Teh teh haya Miss , I hope Marangu umejenga lakini sio umewakamata ukaishia kuwekwa kwenye Apartment na gari lenye jina la aliyekupaAsante nawe pia.. bilionea wq Jf nishawafilisi baadhi nikajisepea kimya kimya .. sa hivi nipo na wakitaa huku tunaendelea kuzisaka
Afadhali Nifah umenisaidia kunitetea kwa Mumeo huyo kwani nahisi na Mimi sasa ningekuwa nahangaika kutafuta Wadhamini wa kunitoa Kolokoroni. Mumeo nasikia si Mtu wa sport sport! Kuna UZI mmoja mzuri sana nitauanzisha Jumamosi ijayo asubuhi ya kati ya Saa 1 au Saa 2 naomba usiukose Dada yangu sawa? Najua siku hiyo utacheka hadi kupasuka!
Hahaha! Usijali shemeji, utapafahamuShemeji huko HQ ndiyo wapi tena? Manake naona kila mara ukinikoti unanitajia HQ na unaniacha njia panda. Funguka tu Mkuu nchi huru hii kabisa usiogope.
Hahaahaha!! Ndio mimi mbasha..Hivi huyu The bold sio yule mbasha alie "kuwa" mume wa flora ama naona vibaya
Nimejenga na mjini pia ha ha ha vigari vyao niliuza nikanunua langu ha ha haTeh teh haya Miss , I hope Marangu umejenga lakini sio umewakamata ukaishia kuwekwa kwenye Apartment na gari lenye jina la aliyekupa
Shukrani sana Mkuu lancanshireAisee inaelekea nimezubaa sana yani mtu unaondoka na mrembo hapa JF nikiambiwa la maana nililofanya mwaka huu ni kumponda Uncle Magufuli madongo .
Ngoja nikazane mwaka ni na mimi nimpate mwenza hapa.
Hongera sana Mkuu the Bold na bibie Nifah kwa kuwa Kitu kimoja. Mwenyezi awajalie kila lenye kheri katika safari yenu. InshaAllah
Halafu brother The bold Mungu akubariki mkuu jana nilisoma ule uzi wako wa Carlos(The jackal) umenifanya na mimi niwe member wako wa karibu na nyuzi zako. ingawa nishasoma baadhi lakini Carlos the jackal ilikuwa nzuri sana.Haahahaha!! Mkuu usimchokoze msahana akafanya yake tukajuta [emoji1] mshana sio wa mchezo mchezo..
Tabia mbaya mwenzio apasuke asione 2017[emoji125] [emoji125] [emoji125]
My darling kwanza ushapata pesa sitaki story?miss chagga kama hutojali naomba Mimi na Wewe sasa tuige mfano wa hawa Wapendwa wetu tafadhali kwani napenda mno kuoa Binti wa Kichagga. Unaweza na Wewe ukanitumia picha yako niitumie kama Avatar yangu na Wewe pia nikupe hilo Nyago langu katika Avatar hapo utiririke nalo? Nakupenda na nakuhitaji kunakotukuka Baby. Nikifanya masihara na kuchelewa Mademu wote humu JF wataolewa na nitabaki tu sasa kukodoleana mimacho ya Midume wenzangu tu humu.
Nasubiri jibu langu Darling wa Kichagga!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Siwezi kukosa kaka.
Tuombe uzima tu.
My darling kwanza ushapata pesa sitaki story?
Ngoja kwanza nirudi mjiniMagufuli kanishikia kwa muda tu kwakuwa sijui kutunza Hela, ila ukinikubalia tu nazifuata Magogoni hata sasa hivi. I love you so much Darling Miss Chagga!
Shukrani sana Mkuu Iceman 3D
Uniite namieAfadhali Nifah umenisaidia kunitetea kwa Mumeo huyo kwani nahisi na Mimi sasa ningekuwa nahangaika kutafuta Wadhamini wa kunitoa Kolokoroni. Mumeo nasikia si Mtu wa sport sport! Kuna UZI mmoja mzuri sana nitauanzisha Jumamosi ijayo asubuhi ya kati ya Saa 1 au Saa 2 naomba usiukose Dada yangu sawa? Najua siku hiyo utacheka hadi kupasuka!
Oooh nilisahau kuwa uliniambia nitunze siri[emoji120] [emoji120]