Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Nimetafakari sana nikujibu nini,kwanza sikujui na sijui lengo lako hasa la kusema yote haya ni nini.

Anyways... Tuseme wewe ni ex kweli,so what?
Kwani umesikia nilimuambia The bold mimi ni bikra ili iwe ajabu mimi kuwa na ex?

As long as sikumuambia hivyo that means ninao exes,na kuwa na exes sio kosa la jinai bali kosa ni kuendelea kupasha viporo na exes.

My dear,kama ulifikiri comment yako hii itavuruga chochote baina yetu umefail,ananijua vyema,anajua ni jinsi gani namaanisha kwake.
Nipo committed nae,I won't cheat him.
Wakati wako ulishapita,huu ni wakati wake sasa.

So my dearest ex,can you leave us alone pls?
Yani watu sijui mkoje! Na kwa kutambua hili tulishajipanga mapema kukabiliana na wale wote kama wewe,hamtoweza asilani.

#TheBoldIsMine#
That's ma girl..

Katika uwanja wa vita, kama hujui adui yako alikojificha unaweza kujitokeza hadharani kwa kujihami ili uone risasi zikipigwa zinatokea wapi.. Akifyatua tu risasi unajua alipojificha na unatumia mwanya huo kummaliza..

Its the same here, kwa kuweka hii relationship out in the open, ndipo hapo tutaanza kuwaona wachawi kama huyu ambao walikuwa wamejificha wakijitokeza kutoka mapangoni..

Nimesoma comment yake, sikumchukia bali nikamdharau.!
Mtoto wa kiume hawezi kuandika comment ya kipuuzi kama yake..

Huyu ni mchawi uchwara.. Na ameshindwa hata kabla ya kuanza kuroga!
 
He is not serious Shemela wetu. Huu ni utani wa maishemejii
Sawa he is not,but we are serious.
Unajua mambo kama haya yanaumiza kiasi gani?
As his woman,nimeyahisi maumivu ya The bold wangu...ndio maana nimeona nisikae kimya.

Anyways... Nimemjibu tu kutoa nyongo niliyokuwa nayo,sina mpango wa kuwa na ligi,nimeshamaliza.
Thanks
 
Nimetafakari sana nikujibu nini,kwanza sikujui na sijui lengo lako hasa la kusema yote haya ni nini.

Anyways... Tuseme wewe ni ex kweli,so what?
Kwani umesikia nilimuambia The bold mimi ni bikra ili iwe ajabu mimi kuwa na ex?

As long as sikumuambia hivyo that means ninao exes,na kuwa na exes sio kosa la jinai bali kosa ni kuendelea kupasha viporo na exes.

My dear,kama ulifikiri comment yako hii itavuruga chochote baina yetu umefail,ananijua vyema,anajua ni jinsi gani namaanisha kwake.
Nipo committed nae,I won't cheat him.
Wakati wako ulishapita,huu ni wakati wake sasa.

So my dearest ex,can you leave us alone pls?
Yani watu sijui mkoje! Na kwa kutambua hili tulishajipanga mapema kukabiliana na wale wote kama wewe,hamtoweza asilani.

#TheBoldIsMine#
Sasa unachopaniki ex ni nini? Kwanini uhisi nina lengo hasi km ulishamweleza jamaa kuwa unao exes?!

Me nawatakia heri ya dhati wala sio unafiki.. Hayo mambo ya kiporo nimetania tu, acha kujaa!

PS: Take a gud care of that little **** Of ours!
 
Hongera sana the bold kwa kufanikiwa kujenga mahusiano ndani ya jamii yetu hii kwa maana nyingine ni kuwa umeokotea ndani ni jambo la kujivunia pili ni aina ya njia mlimopitia mpaka kufika hapo ndipo utakubaliana na kauli ya "quarrel
l are not destructive sometimes are constructive "na wazawa tukasema yetu wagombanao ndio wapendanao muendelee vyema kufikia malengo yenu .
Nashukuru sana Mkuu Guasa Amboni

Hakika wagombanao ndio wapendanao..
 
Twaomba karima kuwajalia na maisha mema kuyafurahia.
Kila lililojema twawaombea muishi kwa salama pia.
Ilahi mwenyezi tunakuelekea uwape mapenzi wadumu pamoja pia.
Allah alisimamie jambo lenu ili iwe ni siku adhimu kwa watu muadhamu kwa kufunga ndoa.
Allahumma Aamiyn
The bold & Nifah
#ForNikkahInshaallah#

Maash Allah
Aamiyn Allahumma Aamiyn
Shukraan Sheikh
Allah akuzidishie kheyr In Shaa Allah
 
He is not serious Shemela wetu. Huu ni utani wa maishemejii
Hapana mkuu huyu hakuwa anafanya utani! Alikuwa anataka kutengeneza sintofahamu baina yetu..

Mbona wewe na wengine mmefanya utani and hatuja react negatively, because maandishi yenu yalikuwa yanaonyesha mnatania.. But this guy ni hater alafu hater asiyejielewa
 
That's ma girl..

Katika uwanja wa vita, kama hujui adui yako alikojificha unaweza kujitokeza hadharani kwa kujihami ili uone risasi zikipigwa zinatokea wapi.. Akifyatua tu risasi unajua alipojificha na unatumia mwanya huo kummaliza..

Its the same here, kwa kuweka hii relationship out in the open, ndipo hapo tutaanza kuwaona wachawi kama huyu ambao walikuwa wamejificha wakijitokeza kutoka mapangoni..

Nimesoma comment yake, sikumchukia bali nikamdharau.!
Mtoto wa kiume hawezi kuandika comment ya kipuuzi kama yake..

Huyu ni mchawi uchwara.. Na ameshindwa hata kabla ya kuanza kuroga!
Ama kweli mapenzi upofu! Haya me mchawi. Tupo!
 
Hapana mkuu huyu hakuwa anafanya utani! Alikuwa anataka kutengeneza sintofahamu baina yetu..

Mbona wewe na wengine mmefanya utani and hatuja react negatively, because maandishi yenu yalikuwa yanaonyesha mnatania.. But this guy ni hater alafu hater asiyejielewa
Hahaha nilijua tu nitaitwa hater! Sasa hapo ninachohate ni nini? Au why niwe hater?

Hebu nipe sababu moja tu ya Mimi kuwa hater. Nimekosa nini hapo unapopababaikia?!
 
That's ma girl..

Katika uwanja wa vita, kama hujui adui yako alikojificha unaweza kujitokeza hadharani kwa kujihami ili uone risasi zikipigwa zinatokea wapi.. Akifyatua tu risasi unajua alipojificha na unatumia mwanya huo kummaliza..

Its the same here, kwa kuweka hii relationship out in the open, ndipo hapo tutaanza kuwaona wachawi kama huyu ambao walikuwa wamejificha wakijitokeza kutoka mapangoni..

Nimesoma comment yake, sikumchukia bali nikamdharau.!
Mtoto wa kiume hawezi kuandika comment ya kipuuzi kama yake..

Huyu ni mchawi uchwara.. Na ameshindwa hata kabla ya kuanza kuroga!

And that's my man [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji8]

Watu kama hawa hawakosekani my love,tuachane nae na tusonge mbele.

My dearest hubby to be,you are a one in a trillion.
I chose you,and that means I only want you & no one else.
I love you [emoji131]

#TheBold's#
 
Hapana mkuu huyu hakuwa anafanya utani! Alikuwa anataka kutengeneza sintofahamu baina yetu..

Mbona wewe na wengine mmefanya utani and hatuja react negatively, because maandishi yenu yalikuwa yanaonyesha mnatania.. But this guy ni hater alafu hater asiyejielewa
Hapa ndo nimeelewaaa.
 
Hapana mkuu huyu hakuwa anafanya utani! Alikuwa anataka kutengeneza sintofahamu baina yetu..

Mbona wewe na wengine mmefanya utani and hatuja react negatively, because maandishi yenu yalikuwa yanaonyesha mnatania.. But this guy ni hater alafu hater asiyejielewa
Heheeeeee hebu tukalale baba,tunapoteza muda wetu ujue?
Nakupenda sana,hakuna cha kubadilisha hili.
Period
 
And that's my man [emoji7] [emoji7] [emoji8] [emoji8] [emoji8]

Watu kama hawa hawakosekani my love,tuachane nae na tusonge mbele.

My dearest hubby to be,you are a one in a trillion.
I chose you,and that means I only want you & no one else.
I love you [emoji131]

#TheBold's#
Profeshno!!!!!! Hahahaha... [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Safi sana! Hapo tu ndio ninapokupendea!

Akijileta unapita nae tu.. Kwenye Bio Insta umeandikaje?!

*Paper Chaser*[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Ewe mrembo uliekata tamaa juu yetu sisi wanaume, kupitia uzi huu wenye baraka za upendo uliotukuka baina ya wapendanao The bold na bi Nifah,.
Nakuomba uufungue moyo wako toka ktk kifungo cha mateso na uuruhusu kumpenda kijana mwenzio (BOMBAY).
sikutaji jina coz najua Sina mrembo mwengine humu ambae niliwahi kumwambia hisia zangu zaidi yako ww mrembo.
Please badili mtazamo wako hasi juu ya wanaume kwakunipenda Mimi ...amini huto juta tena. [emoji7]
Mtaje tukusaidiee kumbembelezaa
 
Back
Top Bottom