Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,717
That's ma girl..Nimetafakari sana nikujibu nini,kwanza sikujui na sijui lengo lako hasa la kusema yote haya ni nini.
Anyways... Tuseme wewe ni ex kweli,so what?
Kwani umesikia nilimuambia The bold mimi ni bikra ili iwe ajabu mimi kuwa na ex?
As long as sikumuambia hivyo that means ninao exes,na kuwa na exes sio kosa la jinai bali kosa ni kuendelea kupasha viporo na exes.
My dear,kama ulifikiri comment yako hii itavuruga chochote baina yetu umefail,ananijua vyema,anajua ni jinsi gani namaanisha kwake.
Nipo committed nae,I won't cheat him.
Wakati wako ulishapita,huu ni wakati wake sasa.
So my dearest ex,can you leave us alone pls?
Yani watu sijui mkoje! Na kwa kutambua hili tulishajipanga mapema kukabiliana na wale wote kama wewe,hamtoweza asilani.
#TheBoldIsMine#
Katika uwanja wa vita, kama hujui adui yako alikojificha unaweza kujitokeza hadharani kwa kujihami ili uone risasi zikipigwa zinatokea wapi.. Akifyatua tu risasi unajua alipojificha na unatumia mwanya huo kummaliza..
Its the same here, kwa kuweka hii relationship out in the open, ndipo hapo tutaanza kuwaona wachawi kama huyu ambao walikuwa wamejificha wakijitokeza kutoka mapangoni..
Nimesoma comment yake, sikumchukia bali nikamdharau.!
Mtoto wa kiume hawezi kuandika comment ya kipuuzi kama yake..
Huyu ni mchawi uchwara.. Na ameshindwa hata kabla ya kuanza kuroga!