Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Benny mshika mapembe tu, naongelea wa ukweli ukweli, kwakweli long live jf!!
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Khaaaaaaaa mimi mbona Bold ni wa huku JF na ni wa ukweli ukweliiii?
Hahahahahaaaaa so HS na Benny I think ni kweli pia.

Absolutely... Long live JF!
 
Yereuwiii, kweli nimechokwa home
Hamna huyo ni wa hukuhuku tu hawavuki mipaka, sio kama wewe na shemela.
Ndio maana namwambia afanye mambo sasa.
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
Khaaaaaaaa mimi mbona Bold ni wa huku JF na ni wa ukweli ukweliiii?
Hahahahahaaaaa so HS na Benny I think ni kweli pia.

Absolutely... Long live JF!
Tobaaaaaaaaaaa. Mbona kunitafutia mabalaa
Benny mshika mapembe tu, naongelea wa ukweli ukweli, kwakweli long live jf!!
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…