Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Unakufaa sanaaa, sikupatii picha.
Mmh ntakuwa nimedandia "kusudi". Me nataka muda wote nideke kwa bae, wakati Mchungaji anatakiwa madhabahuni muda mwingi. Kuomba kwenyewe naomba ndani ya shuka 35 secs, huku church nahitajika kuombea huduma na waumini, mbona ntachomwa moto jamani teh
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Ama kweli wito hamna.
 
Mbona hii avatar ya the bold amevaa Pete ya ndoa tayari [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji104][emoji104][emoji104]
 
Mbona hii avatar ya the bold amevaa Pete ya ndoa tayari [emoji108][emoji108][emoji108][emoji108][emoji104][emoji104][emoji104]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Dada yangu unaleta ushilawadu hadi kwa mdogo wako?
Hiyo haina maana ya ndoa...ya ndoa atavikwa na his favorite, his choice Nifah [emoji4] [emoji108]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nahisi mmefuta!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] I can see uu!!

chumba kipo mbona hujii Mr DC!!

Ila FLM ilikua tamuuu

Chumba nilighairi uliposema utahama, so hakukuwa na point ya mimi kuja. Unless utabadili wazo la kuhama.

FLM bana, tatizo lake historia, na imejaa misukosuko mingi. DC came across a nice dude, ghost before DC, ghost after DC.
 
Chumba nilighairi uliposema utahama, so hakukuwa na point ya mimi kuja. Unless utabadili wazo la kuhama.

FLM bana, tatizo lake historia, na imejaa misukosuko mingi. DC came across a nice dude, ghost before DC, ghost after DC.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…