Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Hafi kipa wala beki, umeamua kutoa [emoji23][emoji23]
[emoji12] [emoji13] [emoji12] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]

Kumbe nawe ulimsomaaa?

Maandishi yana impact kuliko matamshii
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wadudu kunuka mnataka kuingilia kati hahaha
Huyo Dada ananifurahisha kwa uwezo wake wa kuchambua mambo mpaka nahisi huyu jamaa yetu atakua anachambuliwa kama karanga
 
Haiwezekani ingekuwa miss changa hapo ningeelewa ila kwa dada yangu Patience123 unamuonea bure hana shida za hivyo ni mvumilivu huyu kwa kila hali unaishi naye
Mkuu ke ni sawa na gari, ili ulifurahie matunzoni muhimu, sasa huyu ex shemu wako ni mbahili sana kiasi cha dadako kukosa hata nguo na isitoshe jamaa ana wake 5, hivyo nilofanikiwa kuteka moyo wake na sasa nammiliki na kachanua kwa upyaaa
 
Mkuu ke ni sawa na gari, ili ulifurahie matunzoni muhimu, sasa huyu ex shemu wako ni mbahili sana kiasi cha dadako kukosa hata nguo na isitoshe jamaa ana wake 5, hivyo nilofanikiwa kuteka moyo wake na sasa nammiliki na kachanua kwa upyaaa
Aaaaaah mimi sikuamini bana ngoja dada yangu atakuja kunieleza vizuri Patience123 ,dada yangu hakosi nguo na hajalelewa kumtegemea mwanaume ,yeye mwenyewe ni mpambanaji
 
Awwwwwwww hakika sikufanya makosa.
Sio kwa speech hii baba,hii ndio raha na kuwa na mwanaume mwenye akili kubwa.
I love being yours [emoji8] [emoji8] [emoji8]

#TheBold's#
 
Awwwwwwww hakika sikufanya makosa.
Sio kwa speech hii baba,hii ndio raha na kuwa na mwanaume mwenye akili kubwa.
I love being yours [emoji8] [emoji8] [emoji8]

#TheBold's#
Aiseeeeee. [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Kama nikuambiavyo kila siku babes,kuna wakati huwa nashindwa kuamini!
Hivi ni kweli I'm in love with The bold?
OMG!
Namshukuru Mungu kwa yote...bora tumeishia hivi kuliko tungeanza hivi kisha tukaishia vile.
Can you imagine ingekuwa viceversa darling?[emoji134]
 
Mpende kama vile hutapenda tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…