Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,174
- 16,794
- Thread starter
-
- #161
[emoji12] [emoji13] [emoji12] [emoji13] [emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Hafi kipa wala beki, umeamua kutoa [emoji23][emoji23]
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]Na hivi Bibie alivyo mwembamba na Modo kama nakuona vile Mkuu unavyousokomeza Mchi kunako Kinu cha Nungwi.
Huyo Dada ananifurahisha kwa uwezo wake wa kuchambua mambo mpaka nahisi huyu jamaa yetu atakua anachambuliwa kama karanga[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wadudu kunuka mnataka kuingilia kati hahaha
Mkuu ke ni sawa na gari, ili ulifurahie matunzoni muhimu, sasa huyu ex shemu wako ni mbahili sana kiasi cha dadako kukosa hata nguo na isitoshe jamaa ana wake 5, hivyo nilofanikiwa kuteka moyo wake na sasa nammiliki na kachanua kwa upyaaaHaiwezekani ingekuwa miss changa hapo ningeelewa ila kwa dada yangu Patience123 unamuonea bure hana shida za hivyo ni mvumilivu huyu kwa kila hali unaishi naye
Aaaaaah mimi sikuamini bana ngoja dada yangu atakuja kunieleza vizuri Patience123 ,dada yangu hakosi nguo na hajalelewa kumtegemea mwanaume ,yeye mwenyewe ni mpambanajiMkuu ke ni sawa na gari, ili ulifurahie matunzoni muhimu, sasa huyu ex shemu wako ni mbahili sana kiasi cha dadako kukosa hata nguo na isitoshe jamaa ana wake 5, hivyo nilofanikiwa kuteka moyo wake na sasa nammiliki na kachanua kwa upyaaa
Awwwwwwww hakika sikufanya makosa.Wooooww.!! Thank you so much wakuu..
Hahahaha roboti la matope eti roho inakuuma [emoji23] [emoji23]
Wakuu, inawezekana wengi hatufahamiana nje ya JF but wote humu tumekuwa kama familia.. And "on behalf of my self" na mrembo Nifah niseme shukrani kwenu wanafamilia wenzetu wote mnaotutakia kheri..
Ni vile tu tunalinda privacy yetu na kuepuka kujiexpose but natamani mda mwingine kuweka wazi ulimwengu mzima ujue kiasi gani tuko deep and serious about this.. Sio ili "kushow off", hapana ni vile finally ukipata soulmate ambaye you have been dreaming kumpata your whole life.. You wish you could scream for the whole world to know..
Kwa dhati kabisa, tunaomba sana maombi yenu, maana mimi na bibie sote ni vijana na kama vijana tuna "changamoto" nyingi, na mahusiano yoyote haijalishi mnapendana kiasi gani lakini lazima kitatokea kipindi cha magumu na mahusiano yenu kujaribiwa.. Mtuombee tuwe na moyo mkuu, hata ikitokea tukifarakana tukumbuke how much we love each other ili tuweze kushinda changamoto na vita zote zilizo mbele yetu na hatimaye tufikie lile lengo tulilonalo mioyoni mwetu..
Again, niwashukuru wote wenye kututakia kheri na kutuombea roboti la matope, Heaven Sent, Compact, samsun, UncleBen, Azarel, Valentina na wanafamilia/wanachama wote wa JamiiForum..
Tunawapenda sana!
# TheBold's
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkipata mtoto.muiteni jamii forum.
Aiseeeeee. [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Awwwwwwww hakika sikufanya makosa.
Sio kwa speech hii baba,hii ndio raha na kuwa na mwanaume mwenye akili kubwa.
I love being yours [emoji8] [emoji8] [emoji8]
#TheBold's#
Kwa sasa nimewapumzisha ukweni...Hongereni sana inapendeza, kizuri zaidi nafurahi Nifah kapunguza kutushambulia team WCB.
Dah hivi ile familia yetu ya humu Jf bado ipo Alwatan GENTAMYCINE ? Mussolini yupo wapi ...dada huyooo anaolewaaa
Ngoja nichungulie
Aamiyn Allahuma AmiynDeep!
Allah awabariki mpate kufikia lengo lenu. .
Bila shaka mpenzi..Hongereni sana wapendwa naamini sitakosa kadi ya mwaliko
Kama nikuambiavyo kila siku babes,kuna wakati huwa nashindwa kuamini![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Life is an interesting journey.! Nikikumbuka ile Vita kati yangu na mtoto mzuri, naamini kweli hiki tulichonacho sasa ni mpango wa Mungu.. Maana haiwezekani kabisa kwa akili za kibinadamu maadui wakubwa kiasi kile leo hii kuogelea kwenye mapenzi mazito kiasi hiki [emoji1] [emoji23]
That's my man [emoji8] [emoji8] [emoji8]Hahahahah.! It's more complicated than that.. but ndio maisha, ni vita! You win some and you loose some.. Am happy i won this one..
[emoji38][emoji38][emoji38] hivi vita haviishi tu ,mwache dada yanguJamaa kaamua kujitoa mhanga kwa kukubali kwa moyo mmoja kabisa kukumbatia Mzinga wa Nyuki. Hongera zake sana!
Mpende kama vile hutapenda tenaWooooww.!! Thank you so much wakuu..
Hahahaha roboti la matope eti roho inakuuma [emoji23] [emoji23]
Wakuu, inawezekana wengi hatufahamiana nje ya JF but wote humu tumekuwa kama familia.. And "on behalf of my self" na mrembo Nifah niseme shukrani kwenu wanafamilia wenzetu wote mnaotutakia kheri..
Ni vile tu tunalinda privacy yetu na kuepuka kujiexpose but natamani mda mwingine kuweka wazi ulimwengu mzima ujue kiasi gani tuko deep and serious about this.. Sio ili "kushow off", hapana ni vile finally ukipata soulmate ambaye you have been dreaming kumpata your whole life.. You wish you could scream for the whole world to know..
Kwa dhati kabisa, tunaomba sana maombi yenu, maana mimi na bibie sote ni vijana na kama vijana tuna "changamoto" nyingi, na mahusiano yoyote haijalishi mnapendana kiasi gani lakini lazima kitatokea kipindi cha magumu na mahusiano yenu kujaribiwa.. Mtuombee tuwe na moyo mkuu, hata ikitokea tukifarakana tukumbuke how much we love each other ili tuweze kushinda changamoto na vita zote zilizo mbele yetu na hatimaye tufikie lile lengo tulilonalo mioyoni mwetu..
Again, niwashukuru wote wenye kututakia kheri na kutuombea roboti la matope, Heaven Sent, Compact, samsun, UncleBen, Azarel, Valentina na wanafamilia/wanachama wote wa JamiiForum..
Tunawapenda sana!
# TheBold's