Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

Hakyamama nawaonea wivu The Bold & Nifah

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Life is an interesting journey.! Nikikumbuka ile Vita kati yangu na mtoto mzuri, naamini kweli hiki tulichonacho sasa ni mpango wa Mungu.. Maana haiwezekani kabisa kwa akili za kibinadamu maadui wakubwa kiasi kile leo hii kuogelea kwenye mapenzi mazito kiasi hiki [emoji1] [emoji23]
Kwa hiyo yule mchuchu wake umemzidi kete sio hongera bana
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Life is an interesting journey.! Nikikumbuka ile Vita kati yangu na mtoto mzuri, naamini kweli hiki tulichonacho sasa ni mpango wa Mungu.. Maana haiwezekani kabisa kwa akili za kibinadamu maadui wakubwa kiasi kile leo hii kuogelea kwenye mapenzi mazito kiasi hiki [emoji1] [emoji23]
Mungu akisema YES Hakuna la zaidi Mkuu ...hata mngepigana makofi but hiyo Ndio iliyokuwa njia yakuwaunganisha. Everything has a great reason, hatujui tu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Life is an interesting journey.! Nikikumbuka ile Vita kati yangu na mtoto mzuri, naamini kweli hiki tulichonacho sasa ni mpango wa Mungu.. Maana haiwezekani kabisa kwa akili za kibinadamu maadui wakubwa kiasi kile leo hii kuogelea kwenye mapenzi mazito kiasi hiki [emoji1] [emoji23]
Watu wanataka uwaelezee hii mbinu yako ya ku-creaty uadui then ukazaa mapenzi waitumie kukamata watoto wazuri JF
 
Wazo zuri ila naomba tusherehekee humu humu huko tutaenda kukusanywa kama kuku wenye mdondo.
[emoji15] [emoji15] ..... Toba.....[emoji87] [emoji87] [emoji87]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kwanini mkuu,ushawahi kuharibu nini .....??
 
Back
Top Bottom