choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Huu ni msimu wa mvunja rekodi, jini, shetani wa mpira Halaand, nawaza jinsi Inter itakavyoenda kuchakazwa na huyu Bwana.
Rekodi zake sihitaji kuziweka hapa maana zinafahamika
NB: siasa za mpira zitasema apewe leonel Messi sababu ya WC, lakini tukumbuke
2010 Iniesta hakupewa
2014 muller hakupewa
2018 mbappe/ Griezman hakupewa
Namkubali Messi ila tangu atoke WC amekua kama mchezaji anayesubiri kutangaza kustaafu, ni aibu akipewa hii tuzo
Wanajua soka pekee, watampigia kura jini Halaand mapema tuu
Rekodi zake sihitaji kuziweka hapa maana zinafahamika
NB: siasa za mpira zitasema apewe leonel Messi sababu ya WC, lakini tukumbuke
2010 Iniesta hakupewa
2014 muller hakupewa
2018 mbappe/ Griezman hakupewa
Namkubali Messi ila tangu atoke WC amekua kama mchezaji anayesubiri kutangaza kustaafu, ni aibu akipewa hii tuzo
Wanajua soka pekee, watampigia kura jini Halaand mapema tuu