Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnalia sababu hamtaki kubadilika Dunia ya Leo sio ya kuendekeza mapenzi kabisa[emoji1787][emoji1787] wanaume tunalia na mengi kwakwel
Nimesikitika sana ila naomba namba au hata account yake kama unayoAlafu ukae kuhangaika kumfikisha uyu kileleni View attachment 2510654
Duh!!,Hapo ukute kila mwanaume aliyekuta nae alijisifu kuwa yeye ni kidume kumbe hakuna lolote.Alafu ukae kuhangaika kumfikisha uyu kileleni View attachment 2510654
🤣🤣🤣🤣Ana viungo vya uzazi vilivyo komaa, vimejaribiwa na kuthibitika vinafaa kwa matumizi ya binadamu. Dada ana uzoefu wa kutosha, amekaa na wanaume zaidi ya 70, huyo ni mwanamke anayefaa kuolewa. Sifa, uzoefu na vigezo vimezingatiwa
KWA HIYO KAITWA WASAFI HAPOUKITAKA kuwa Maarufu Tanzania Ongea Ongea sana Fanya mambo ya Hovyo kabisa.
Tunapenda sana Ujinga..
MASIKINI TANZANIA YANGU.
Ni msanii wa bongo movie (chipukizi)Kwani huyu ni nani tena?
Asante Mkuu, maana kila nikivuta kumbukumbuku nilikua sipati jibu kamili . Shukrani sanaNi msanii wa bongo movie (chipukizi)
Mgangwaji mwandamiziKwani huyu ni nani?