Halafu ukae kuhangaika kumfikisha huyu kileleni

Afu utashangaa Kuna mwanaume anajisemesha kwake"babe unajua wewe ni wa pili kudate nawe🤣🤣🤣🤣🙏....mwanamke mwenye 70 orodha anashangaa "hiii!
🤣 Wanawake sijui nani aliwafundisha hii tabia
 
Unafkri huyo unaedhan unamfikisha hajafikisha hyo idadi?
Information is power..!!! Kama hujui wala hakuna kitakachokusumbua. Ni sawa na unapogongewa au kuchapiwa lakini hujui, wala haikusumbui. Siku ukijua ndo patachimbika
 
Afu utashangaa Kuna mwanaume anajisemesha kwake"babe unajua wewe ni wa pili kudate nawe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji120]....mwanamke mwenye 70 orodha anashangaa "hiii!
Kuna sisi tunajua hata kwa kutizama tuu..[emoji23]
 
Mapenzi hayana makombo mjue, ukitaka kuingia ingia kimpango wako utape hizo raha.
 
Mbona wachache sana hao
Mi kila nikijaribu kuhesabu madem nliopita nao nashindwa manake wengi nimewasahau. Ila kwa uchache hawapungui 150
 
H
Halafu humo utakuta kuna vijana wanapambana kishenzi yani wanakomaa walau wapate kukojolea tu. Wamemzimikia kishtobe.
Halafu wakifika wanakutana na Panama river, what a disappointment[emoji23]
 
Alafu ukae kuhangaika kumfikisha huyu kileleni.

View attachment 2510654
We nawe wa wapi, kwani kuwa na idadi hiyo ya wanaume ndio asifikishwe kileleni? Kumfikisha mwanamke kileleni sio guarantee ya kukufanya asikuache akitaka. We simamia show kibabe kama utaratibu wako ufanyapo lile tendo pendwa kwa mwanamke yoyote yule.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…