Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri mpaka lini wazike au [emoji28][emoji28]Lakini kuna watu bado wanapata hamu ya kusex kipindi hiki cha huzuni.[emoji22]kama kweli mmefanya ivo inasikitisha sana mjue[emoji24]
Jikazeni jamani kuweni wavumilivu hizo nyapu zipo tu.
RIP Makamanda
moto hauzimi mamaa 😂Tusubiri mpaka lini wazike au [emoji28][emoji28]
Me nimewazaaa mpaka wazike mbali ujue, bora yule wa kwanza ni kesho kutwa...sasa huu msiba mpya hatujui wanazika lini [emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]...nimecheka kweli.[emoji119]
[emoji28][emoji28][emoji28]moto hauzimi mamaa [emoji23]
Moto hauzimi [emoji28][emoji28]moto hauzimi mamaa [emoji23]
watu wanafanya yao as we speak😂Moto hauzimi [emoji28][emoji28]
To yeye km Rihanna na A$Ap Rocky ni kuwaza ngono tu na kuongeza idadi ya watoto, 🙄umekazia ngono
Ushatoka kupigwa mashine na unaweka na bango juu, we kiboko aseeeKha mie mwenyewe nimeshatoka kwenye mechii saivi napika Nile nikalale kesho siku na Mungu wangu
Naongezea mkazo.📌🔨Nakazia 🔨
Rihanna mimba zitapandiana tu yule kijana anapeleka Moto mfululizo akitoka huyu hajakaa vizuri imo mtoto wa 3, dadeq😂😂😂😂😜 mwache Rihanna wa watu😠