Halahala wadada. Mikanda ya kubana tumbo itawaletea dysfunctional and/or malfucnctional disorders

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kuna mtindo umeingia hivi Sasa hapa mjini wa wadada kutengeneza shepu na kupungiza tumbo kwa kufunga mikanda tumboni.

Mtindo huu siyo mzuri ndugu zanguni maana mikanda hii inabana sana tumbo. Kumbukeni viungo vyote mwilinj vinahitaji hewa na damu, lkn mikanda hii inabana kiasi cha kuvifanya viungo hivi kupata damu na hewa kwa uchache sana.

Hali hii itapelekea baaadhi ya mishipa kupasuka na mwishowe kufa na hivyo kupelekea kupungua kwa ufanisi wa viunho hivi kufanya kazi zake.

My take.
Kama umepewa shepu ya tofali ama gunia la mahindi, au umepewa maziwa (manyonyo) makubwa kama matikiti na tumbo kama mjamzito kubaliana na hali maisha yasonge mbele.
 
Aisee....mkuu ungewaambia taratibu, wataelewa tu.
 
Baadaye utawaona wanajazana kwa Mwamposa kununua mafuta ya upako ili wajitibu uvimbe na saratani.
 
ukitaka kupata pesa fanya biashara ya vitu vya kike tu !

wana mambo mengi !
 
Kwa hiyo unataka kusema wale wavaa mikanda kazi hakuna...

Ngoja waje...
 
Kwahiyo tukitoka kujifungua matumbo tuyaache yaning'inie Kama mitumbwi?ila wanaume mna matatizo kweli,sijui jema lipi kwenu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…