- Thread starter
- #21
Dawa ni mazoezi na kazi ngumu. Mbona wanawake wa vijijini matumbo yao hupotea yenyewe?Kwahiyo tukitoka kujifungua matumbo tuyaache yaning'inie Kama mitumbwi?ila wanaume mna matatizo kweli,sijui jema lipi kwenu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa ni mazoezi na kazi ngumu. Mbona wanawake wa vijijini matumbo yao hupotea yenyewe?Kwahiyo tukitoka kujifungua matumbo tuyaache yaning'inie Kama mitumbwi?ila wanaume mna matatizo kweli,sijui jema lipi kwenu!
Huku mjini kazi ngumu ziko wapi?Dawa ni mazoezi na kazi ngumu. Mbona wanawake wa vijijini matumbo yao hupotea yenyewe?
Basi hata wawe wanapiga mazoezi badala ya kubana minyama ya tumbo kwa mikanda.Huku mjini kazi ngumu ziko wapi?
Madhara ya kubana minyama haya. Minyama ikibanwa huwa inatafuta pa kutokeaSasa itakuajeView attachment 1973851
🤣🤣🤣🏃Hatuachiiii. Nyie si mnapenda wanawake wenye shape
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app