Halahala wadada. Mikanda ya kubana tumbo itawaletea dysfunctional and/or malfucnctional disorders

Kwahiyo tukitoka kujifungua matumbo tuyaache yaning'inie Kama mitumbwi?ila wanaume mna matatizo kweli,sijui jema lipi kwenu!
Dawa ni mazoezi na kazi ngumu. Mbona wanawake wa vijijini matumbo yao hupotea yenyewe?
 
Mazoezi ndio kila kitu,
Wanawake wengi hawazingatii mazoezi lakini ukitaka kutengeneza shape yoyote fanya mazoezi.
 
Mazoezi na balance diet ndo mpango mzima sema uvivu unawaponza wadada wenzangu wanaona mikanda ndo kila kitu..
 
Hata kama ni wewe ungekubali kuwa na shepu kama jagi au bilinganya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…