Haleluya Kuu....

EJM_

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
3,836
Reaction score
2,100
Leo bhana wakati tunaendelea na ibada yetu ya pasaka kanisani ukaimbwa wimbo maarufu sana ambao ukiimbwa kipindi kama hiki pamoja mi dhambi yangu yote huwa najihisi kama napaa vile.......Kwa kiswahili huwa wanauita Haleluya Kuu
 
Ulivyopaa mkuu dhambi huna tena? Heri ya PASAKA, Amefufuka kweli kweli Haleluyaa.
 
Karibu glasi ya wine 2burudike
 
Hivi ALELUYA maana yake nini?
 
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaalleeeeeeeeeeeeeeeeluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Ulivyopaa mkuu dhambi huna tena? Heri ya PASAKA, Amefufuka kweli kweli Haleluyaa.
Hahahahaaa binadamu tumeumbwa wadhaifu kaka tunaanguka mara nyingi
 
haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaalleeeeeeeeeeeeeeeeluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Mkuu na wewe unapaa nini?
 
na mimi "nilishapaa" leo asubui!nadhani ule wimbo unaimbwa pia mbinguni!wasiojua hawatatuelewa!
 
Mwal. wetu wa kwaya anaona uvivu kuufundisha.
 
Wacha bana huo wimbo ulitungwa kwa takriban mwaka mmoja huko Rome Italy na uliimbwa na watu wapatao 6000 kwa pamoja.(
 
hata waimbaji huwa wanauogopa kuimba ni very technical huwa wanajiandaa kweli kweli.

Ukiimbwa vizuri hata kama umemsahau Mungu utaweka dhamiri ya kurejea
 
Badala ya Triple LiKe, nataka kutoa LiKe nne.
Zinaitwa Forthplets???

(Double LiKe) skwea.

haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaalleeeeeeeeeeeeeeeeluuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…