leo kwaya itahamia nyumbani mwanguNgojeni niingie chimbo niwatafutie wa kiswahili
huo bwana ni mgumu sana, sasa kama mwl si mzuri sana kwenye nota basi mtausikiliza tu wenzenu wakiimba. kuna sehemu mitaa ya kati pal
e kila sauti wanaimba maneno yake na tune yake.
kuna siku nakumbuka tupo home na kaka yangu, wote tulikuwa tunaimba, sasa nikawa nataka tuimbe wimbo fulani, nikawa nimeushahau jina ila najua maneno na tune ya sauti ya kwanza, nikawa namuimbia wala akawa hanielewi, kumbe kile kipande sauti ya tatu wanaimba maneno mengine na tune nyingine, kazi hapo
Pole sana KaizerYaani mnavojadili huu wimbo wa halleluya chorus mi nywele zinanisimama na machozi yananitoka!
RIP G.F. Handel (1685-1759)
wa kiswahili haupo youtube?
Yaani mnavojadili huu wimbo wa halleluya chorus mi nywele zinanisimama na machozi yananitoka!
RIP G.F. Handel (1685-1759)
Pole sana Kaizer
Elizabeth Dominic, Mwenyewe Handel alivomaliza kuitunga (alitumia siku 24 kuandika "the messiah" ambamo "halleluya chorus" au Haleluya Kuu ni sehemu yake) aliona mbingu zimefunguka!Kaizer haupo peke yako yaani hii nyimbo ina utakatifu kweli...
Mbali kule naasikia, Malaika wa Mbinguni...................Ngoja niutafute nao Fixed Point bali kuna nyingine ya kusisimua inaitwa Gloria in Exelsis Deo huimbwa wakati wa Noeli pia huimbwa kwa kiswahili....
wewe acha tu, utakulia mission ushindwe kuimba!Asante Fixed Point...nimefarijika kumbe unajua kuuimba sauti ya kwanza! Big up:clap2::clap2:
Mbali kule naasikia, Malaika wa Mbinguni...................
sasa sijui walishindwa ku-translate kiitikio..................... kimebaki Gloria in Exelsis Deo......................... uwasikilize wangoni sasa wanavyokutamkia hiyo in Exelsis Deo, utazimia
wewe acha tu, utakulia mission ushindwe kuimba!
unaweza ukawa sahihiFixed Point, nadhani ilibaki hivo kwa sababu nadhani it is a well known latin phrase kwenye christianity, na hivyo kutodisturb muziki wake orijino, na nadhani pia kuacha 'kakilatini' kidogo kasipotee kabisa kwen litrujia nk...am just thinking
Mbali kule naasikia, Malaika wa Mbinguni...................
sasa sijui walishindwa ku-translate kiitikio..................... kimebaki Gloria in Exelsis Deo......................... uwasikilize wangoni sasa wanavyokutamkia hiyo in Exelsis Deo, utazimia
We Fixed Point umenichekesha kweli we mchokozi hasa ukiwasikia wamakonde je....ebu jaribu kuigizia tusikie....lol
Elizabeth Dominic, Mwenyewe Handel alivomaliza kuitunga (alitumia siku 24 kuandika "the messiah" ambamo "halleluya chorus" au Haleluya Kuu ni sehemu yake) aliona mbingu zimefunguka!
ha ha ha................... thank you!No wonder you are such a darling kwen house matters eeh!:clap2:
Asa Elizabeth Dominic ndo nini kumchimba chimba Fixed Point? Kwani yeye ni Mngoni amesema? LOL
Mimi nipo parokia ya Mtakatifu Petro, pale MbuyuniNataka atushirikishe bwana mi nishawasikia wamakonde kwani Kaizer we wa Parokia ipi na Fixed Point kama hutajali?