Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

Huyo sio bob 😂😂😂

Nimegundua watu ni psychopaths kweli kweli!!! Sasa hapo kinachokufurahisha ni nini kuona mtu anapoteseka? Hata kama sio bob, kinachokufurahisha ni nini?

Hii nchi kianzishwe kitengo cha ugonjwa wa akili, vijana wana hasira balaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…