Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

Huyo sio bob [emoji23][emoji23][emoji23]

Nimegundua watu ni psychopaths kweli kweli!!! Sasa hapo kinachokufurahisha ni nini kuona mtu anapoteseka? Hata kama sio bob, kinachokufurahisha ni nini?

Hii nchi kianzishwe kitengo cha ugonjwa wa akili, vijana wana hasira balaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana wasio na ajira, pesa, wanakataliwa na mademu, wakienda kwa gays wanatolewa njee,

Ndo wanabaki kuvurugwa hvyooo, ni wa kusamehewa tyuu.
Maisha magumu mno, yanawapelekesha vibayaa, woiiiiiih
 
Huyo sio bob, ila wanaume mna ujasiri sana!!
Hivi mtu km huyo akikugeukia chumbani akukaze wewe utafanyaje yani kwa mfano?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee uduguu?? Kwann lakini khaaah
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] vijana wasio na ajira, pesa, wanakataliwa na mademu, wakienda kwa gays wanatolewa njee,

Ndo wanabaki kuvurugwa hvyooo, ni wa kusamehewa tyuu.
Maisha magumu mno, yanawapelekesha vibayaa, woiiiiiih
Mavijana ni makali sana, hata ukijamba yanakurukia.
 
Huyo sio bob 😂😂😂

Nimegundua watu ni psychopaths kweli kweli!!! Sasa hapo kinachokufurahisha ni nini kuona mtu anapoteseka? Hata kama sio bob, kinachokufurahisha ni nini?

Hii nchi kianzishwe kitengo cha ugonjwa wa akili, vijana wana hasira balaa.
Isingekua uoga wa mioyo ya watanzania, Na roho mbaya zetu, vifo vingekithiri kuliko hata marekani au South Africa.
 
Back
Top Bottom