Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

Maisha magumu sana.

Mimi hata mtu akifumuliwa rinda hadharani siwezi kuhamaki wala kufura. Nimepoa mno.

Sijaona kitu cha kunitia hasira kwenye ulimwengu huu. Yote naona ni maduchu mno.

Na mwaka huu nimepanga kuolewa na Extro, nimechoka uchumba sugu.

Tutafunga ndoa yetu mbele ya KADINALI PENGO.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo naomba niachee, nimecheka had machoziii.
Jaman extro akuoe, huu mwaka tunataka ndoa, lazima tu4c.
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Ariririrrrrrrrrrriii wizo anaolewa na ๐Ÿคญ
Harusi tunayo kachoka uchumba sugu ๐Ÿ˜œ
Mfyuuuu sitakiiiii....na nisikuone kwenye harusi yangu ntakucharaza vimasikio vyako ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo naomba niachee, nimecheka had machoziii.
Jaman extro akuoe, huu mwaka tunataka ndoa, lazima tu4c.
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ hivi extro kwann anamuweka mwenzie uchumba sugu hivi??
Wizo kachoka jamani kaamua liwalo na liwe ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]unanichekeshaa wee, naomba mkaniweke Segerea nasikia kuna wafungwa ma handsome balaa, lazima nkatoke na mimba yaan.
Woiiiiiih.
Ukonga ndo kuna mahendsome balaa, kuna siku niliwaona wanapalilia majani akiiii chupi yote ililowaaaaa ni weusiii wembambaa wamekomaa vifuaa woiiii em niache mie nikalale ๐Ÿคช
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hivi extro kwann anamuweka mwenzie uchumba sugu hivi??
Wizo kachoka jamani kaamua liwalo na liwe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo wizooo etu nae kisangaa, mara Dr, mara Extro, mara Intel, sasa tuende na yupiii? Wana ndugu hatuelewiii.
Woiiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huyo wizooo etu nae kisangaa, mara Dr, mara Extro, mara Intel, sasa tuende na yupiii? Wana ndugu hatuelewiii.
Woiiiiih
Wizo achague mmoja tujue nani anaolewa naye ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Ila mi nilipendekeza dr ndo anamfaa ๐Ÿคญ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ
 
Wizo lazima niwepo nishuhudie unavyoenda kwa mumeo ili niwaletee t
mapicha ya wedding JF haters wako wapasuke ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Ukuje na zawadi ya gari sio unakuja tu na komwe lako alaah... Afu nimemuona mabakuli anatumia fekero account nyingine ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Back
Top Bottom