Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

Hali aliyokuwa nayo Bob Risky baada ya kuhukumiwa

Achana na hilo dingi fupi kama kitunguu maji nalijua.

Lidingi cheichei [emoji81][emoji81][emoji81][emoji2957][emoji2957][emoji2957][emoji2957] mie dume fupi sitaki jamanii afu bora hata awe kijana, ni lidingi la ovyo mno [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wizooo em niachee mie, nilisha staafu heka heka za JF,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu jamani, tena wanifungulie selfika nikaweke mianzi yanguu mie.
Sijui kwann hawafungui tukatupie picha, nikaone shangazi wa maporini anavyojiachia na picha zake zenye ukungu wa vuli 🤣🤣🤣🤣🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Sijui kwann hawafungui tukatupie picha, nikaone shangazi wa maporini anavyojiachia na picha zake zenye ukungu wa vuli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088][emoji2088]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu mie sitakiii, selfika kuna njegeka balaa.
Nimemic heka heka za kulee, wallah.
 
Back
Top Bottom