Pres61
New Member
- Feb 10, 2024
- 3
- 5
Najua wengi tunapitia changamoto mbali mbali zinazopelekea kujiuliza kama kweli Mungu yupo.
Binafsi kuna changamoto nazipitia ambazo mara kadhaa zimenifanya nijiulize hili swali. Lakini kitendo cha kwamba bado naishi na sijapata hata nguvu za kuumaliza uhai wangu mwenyewe naamini kweli Mungu yupo na majaribu na changamoto tumeumbiwa binadamu. Lakini katika yote Mungu ndo muweza wa yote. #usikate tamaa
Binafsi kuna changamoto nazipitia ambazo mara kadhaa zimenifanya nijiulize hili swali. Lakini kitendo cha kwamba bado naishi na sijapata hata nguvu za kuumaliza uhai wangu mwenyewe naamini kweli Mungu yupo na majaribu na changamoto tumeumbiwa binadamu. Lakini katika yote Mungu ndo muweza wa yote. #usikate tamaa