Elections 2010 Hali halisi kabla ya kutangazwa matokeo majimbo ya Dar

Ahsante Mkuu, furaha iliyoje kwa kushinda Mnyika chaguo la wengi, na hasira yangu ya jana pale Kituo cha Kilungule Kimara imepoa maana niliwahi kituoni kabla saa 12 lakini tulichelewa kuanza mpaka saa 1 na nikasumbuliwa kwa kwasabau ya kukosewa kwa jina langu na namba ya usajili lakini nashukuru nikapiga kura, hivyo kwa matokeo hayo machozi yanatoka kwa furaha kwa yule niliyempa kura yangu kama nilivyoaahidi hapa JF!

 
Mjengoni eeee! Patachimbika...Kushoto Mnyika kulia kabwe! Tutamkosa Slaa (Dr wa kweli of course)
 
Chadema, shangilia ushindi umefika!!!!
:smile-big:
 
Wako wapi Malaria Sugu na Zawadi Ngonda?:A S angry:
 
Halima mdee wa CHADEMA ameshinda KAWE kwa mbali sana matokeo rasmi punde, matokeo ya udiwani yamechakachuliwa maana CHADEMA walikuwa wanaongoza vituo 90 kati ya 27 ila ndio hivyo tena diwani kata ya Kawe kashinda wa CCM
 
Heko, vipi wengine kina mboe, lema arusha na karatu

Nafurahi sana na habari hizi njema!!! Vip huko Hai... Mzee mzima Mbowe yukoje????? Please anyone with information please...:israel::israel::israel::israel::israel: Iam so glad.. niko kwa ofisi lakini kazi haziendi kabisa.. Leo sio blue monday kwangu ni hot monday:israel::israel::israel:
 
Powaaaaa kaka lete na idadi ya kula,safiiiiii kaka
mapinduziii daimaaaaaa
 
:hippie::hippie::hippie::hippie:



ccm:tape::tape::tape:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…