Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
......safi sana...urais tunajjuwa tunashinda wanataka kutuibia..NDIO maana spidi ya kutaja matokeo ya urais imepungua..tutapambana ...hata kama tukishindwa....tutampa DR uwenyekiti wa CHADEMA mara moja aendelee kuimarisha chama wakati wengine wanaendeleza bungeni....