Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naanza kunywa bia kuondoa marue rue ya jana.Kati ya wabunge wapuuzi sijaona zaidi ya Makongoro Mahanga.
Wakuu wa JF,
Jimbo la Segerea lilimegwa sehemu mbili: Segerea ya Ukonga na segerea ya Tabata inayokomba hadi Buguruni. Makongoro kabaki Segerea ya Tabata na Fredie kapigania segerea ya Ukonga!
Kama kashinda ni raha tupu.
Teh teh........
upepo wa mageuzi huoooooooo waja Tanzania ukianzia VISIWA VYA KARAFUU ZENJ.......
Naanza kunywa bia kuondoa marue rue ya jana.Kati ya wabunge wapuuzi sijaona zaidi ya Makongoro Mahanga.
Wakuu wa JF,
Jimbo la Segerea lilimegwa sehemu mbili: Segerea ya Ukonga na segerea ya Tabata inayokomba hadi Buguruni. Makongoro kabaki Segerea ya Tabata na Fredie kapigania segerea ya Ukonga!
Kama kashinda ni raha tupu.
Hueleweki. Segerea na Ukonga ni majimbo mawili tofauti. Hakuna Segerea ya Ukonga wala ya Tabata. Ni vyema ungekaa kimya.Wakuu wa JF,
Jimbo la Segerea lilimegwa sehemu mbili: Segerea ya Ukonga na segerea ya Tabata inayokomba hadi Buguruni. Makongoro kabaki Segerea ya Tabata na Fredie kapigania segerea ya Ukonga!
Kama kashinda ni raha tupu.
Amini usiamini. Habari ndo hiyo.
Aisee, hii atakuwa amelamba dume. Kawatimulia vumbi CCM. Kwa hiyo Miltoni Makongoro Mahanga Chali?! Basi mwaka huu wananchi wememdisqualify Kikwete katika uwezo wake wa kuteua mawaziri. Idadi ya mawaziri waliopigwa chini inaashiria kwamba mawaziri hawa walikuwa ni mabogasi
Wakuu wa JF,
Jimbo la Segerea lilimegwa sehemu mbili: Segerea ya Ukonga na segerea ya Tabata inayokomba hadi Buguruni. Makongoro kabaki Segerea ya Tabata na Fredie kapigania segerea ya Ukonga!
Kama kashinda ni raha tupu.
nasikia batilda anatapika nyongo kwa kwenda mbele.
Taarifa nilizozipata muda huu na kuthibitishwa na Meneja wa Kampeni wa John Mnyika Edward Kinabo zinasema kwamba mpaka sasa katika jimbo la Ubungo ni vituo arobaini tu vya Kata ya Mbezi ambavyo bado kuhesabiwa kura na mpaka sasa Mnyika anaongoza kura kwa tofauti ya kura zaidi ya elfu kumi na sita na mia saba (16,700).
Pia wakazi wa Ubungo wameanza kumiminika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Royola kusubiri kusikia kutangazwa kwa Mbunge Mpya wa Ubungo.
Matokeo ya Udiwani Jimboni Ubungo ambayo CHADEMA imeshinda ni kama ifuatavyo:
Kata Saranga
Kata ya Kimara
Kata ya Mbezi
Kata ya Sinza