Hali halisi ya umaskini Kenya- linganisha na Tanzania

Hali halisi ya umaskini Kenya- linganisha na Tanzania

Midimay

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
3,036
Reaction score
5,039
Katika uchakataji na utumiaji wa takwimu, ulinganishaji/ulinganifu hauepukiki. Hii hapa chini ni taarifa ya umaskini Kenya kwa mwaka 2015/2016. Tulinganishe na ya Tanzania ya 2015/2016 na hata hii iliyotoka jana.
 

Attachments

Tumekatazwa kujadili takwimu mpaka ziwe na baraka ya NBS. Wewe ni mchochezi




Wi a on ze laiti tlaki
 
Tukiachana na kenya tunaomba kwanza tujue umasikin wako wewe na familia yako.

Masikin mna tabu sana
 
Kama chadema walianza kuchukua ruzuku million 320 tangu jk alipokuwa ikulu na hadi leo wamepanga sisi wenye mishahara ya laki laki tusemeje
 
Ripoti ya Kenya inaendana na uhalisia angalau sio kama za tz za kupika .
Kule Maeneo yaliyotajwa ni maskini kweli.


Ila tz eti Dodoma inaizidi kagera kimaendeleo sio vituko hivyo
 
Kuna ukweli Fulani hapa.

Sio ya tz eti Dodoma inaizidi kagera kimaendeleo
Screenshot_20190701-230128.jpeg
Screenshot_20190701-230112.jpeg
Screenshot_20190701-230021.jpeg
 
Kama chadema walianza kuchukua ruzuku million 320 tangu jk alipokuwa ikulu na hadi leo wamepanga sisi wenye mishahara ya laki laki tusemeje
Unajua ccm ruzuku yao ni ngapi?
Anyway chadema na hii mada zina uhusiano?
 
Ulimbukeni mtupu, Kujenga majengo sio mafanikio kwa chama cha siasa,hakuna faida yoyote ya maana kwa wanachama wake wengi wala wananchi kwa ujumla.
Kujenga au kukodi jengi kwa chama cha siasa sio hoja kwa watu wazima wenye akili timamu.
Kama chadema walianza kuchukua ruzuku million 320 tangu jk alipokuwa ikulu na hadi leo wamepanga sisi wenye mishahara ya laki laki tusemeje
 
Unadhani Tanzania hii nani anajiendesha kimkakati,na je,mikakati hiyo ni halali au au si halali.nataka jibu.
Huko ndiko kelele za ukosoaji hutoka kwa wasio jua hata kujiendesha kimkakati
 
Huwezi kuzuia watu waongee hasa kama wanachoongea kina mantiki.Ila kama hakina mantiki basi vema wakashauriwa kupunguza.nadhani sasa tumeelewana.
Kuna haja ya ujiangalia kwanza sisi kuanzia mtu.familia.taasisi na n.k
 
Back
Top Bottom