Django unchained
Senior Member
- Sep 3, 2015
- 102
- 158
Shida ya kujenga eneo usilolipendaHabari ...
Nimejenga nyumba nimeimaliza kiasi cha kuweza kuhamia, ila nasumbuliwa na hali ya uvivu sana kwenye kuhamia..wakat mwanzoni nilikua na mzuka wa kujenga na kumaliza ..nakutamani kuhamia.
Nimekua mvivu na mzito kuliko.
Watu hawajui kuwa ubongo wa binadamu ni very complex. Ni lazima kuna kizuizi ambacho kiko kwenye ubongo wake lakini hata yeye hawezi kujua.Shida ya kujenga eneo usilolipenda
HAAAAH....Uwende na mchungaji mwaminifu mkaifanyie maombi,waswahili huwa wanasotea.
Muda mwingine wanaloga ushindwe hata kuimaliza,wapo watu wanatelekeza nyumba ambazo hazijaisha sio kwamba wameishiwa fedha za kumalizia ujenzi.
Wanakuwa wamefungwa. Wanasahaulishwa kwa uchawi.
Mkafanye ibada ya maombi hapo nyumbani,utapata wepesi.
Issue ni kwamba nilikua na mzuka kinoma wa kuona kila hatua ninayoipiga ...inakuwaje.Kama umelitambua hilo, amia kwa nguvu, hata leo.
Nifanyeje sasa mkuuWatu hawajui kuwa ubongo wa binadamu ni very complex. Ni lazima kuna kizuizi ambacho kiko kwenye ubongo wake lakini hata yeye hawezi kujua.
Kweli mkuuKama. Ungekosa.hela.yakodi.ukatolewa.vyombo.nnje.naukabaki
Hapo.tungekuwa.naneno
Kuhama
Sehemu.uliyozoea.ningumu
Sana. Naamini. WATu.wabaya.wapo.ila.usiamini
Hayo.mapema
Utaishi. Kwamashaka
Ipige bei au uikodisheHabari ...
Nimejenga nyumba nimeimaliza kiasi cha kuweza kuhamia, ila nasumbuliwa na hali ya uvivu sana kwenye kuhamia...wakat mwanzoni nilikua na mzuka wa kujenga na kumaliza ..nakutamani kuhamia.
Nimekua mvivu na mzito kuliko.
Anapatikana wapi dunia hii, unazungumzia watu wasiofanya kazi wanaosubiri sadaka.Uwende na mchungaji mwaminifu mkaifanyie maombi, waswahili huwa wanasotea.
Nimeupenda mwandiko wako.Kitaalamu tungesema "unadonyoa"!Kama. Ungekosa.hela.yakodi.ukatolewa.vyombo.nnje.naukabaki
Hapo.tungekuwa.naneno
Kuhama
Sehemu.uliyozoea.ningumu
Sana. Naamini. WATu.wabaya.wapo.ila.usiamini
Hayo.mapema
Utaishi. Kwamashaka
Mkuu hiyo wengi inatukuta mkuuHabari ...
Nimejenga nyumba nimeimaliza kiasi cha kuweza kuhamia, ila nasumbuliwa na hali ya uvivu sana kwenye kuhamia...wakat mwanzoni nilikua na mzuka wa kujenga na kumaliza ..nakutamani kuhamia.
Nimekua mvivu na mzito kuliko.
Hii ni pointi kubwa sanaUwende na mchungaji mwaminifu mkaifanyie maombi, waswahili huwa wanasotea.
Muda mwingine wanaloga ushindwe hata kuimaliza, wapo watu wanatelekeza nyumba ambazo hazijaisha sio kwamba wameishiwa fedha za kumalizia ujenzi.
Wanakuwa wamefungwa. Wanasahaulishwa kwa uchawi.
Mkafanye ibada ya maombi hapo nyumbani,utapata wepesi.
Unaweza kusema ni mas-hara .. .Endelea tu na huo uvivu ni jambo jema,tena hiyo Nyumba iuze kabisa ili uendeleze uvivu wako na kutokuhama kabisa hapo ulipo.