Django unchained
Senior Member
- Sep 3, 2015
- 102
- 158
Habari ...
Nimejenga nyumba nimeimaliza kiasi cha kuweza kuhamia, ila nasumbuliwa na hali ya uvivu sana kwenye kuhamia...wakat mwanzoni nilikua na mzuka wa kujenga na kumaliza ..nakutamani kuhamia.
Nimekua mvivu na mzito kuliko.
Nimejenga nyumba nimeimaliza kiasi cha kuweza kuhamia, ila nasumbuliwa na hali ya uvivu sana kwenye kuhamia...wakat mwanzoni nilikua na mzuka wa kujenga na kumaliza ..nakutamani kuhamia.
Nimekua mvivu na mzito kuliko.