Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Labda una shobo sana na vitu vya watu hadi wengine wanahisi ni vya kwako
Umaridadi huficha UMASKINI.
mkuu umelipia tangazo?
weka picha
Naona umeogopa kuandika hapa, umeamua kukoment moyoni eehhh...teh[emoji23][emoji1][emoji1][emoji1] Aisee!
Umeona eeehhhh....Fungua duka lako
hahahaaa maana.....Naona umeogopa kuandika hapa, umeamua kukoment moyoni eehhh...teh[emoji23]
Naona watu hamtaki kufunguka, sasa mnatuandikia mithamiati tu.....teh[emoji28]Mkuu, umelipia tangazo?
Ana muonekano wa kumilikimiliki vitu vizuri tu! πUmeona eeehhhh....
Kijana anamvuto huyu...
Safi kabisa mkuuAna muonekano wa kumilikimiliki vitu vizuri tu! [emoji1]
AiseeNashindwa kuelewa ni muonekano unachangia ama nini.
Yaani nikienda kwenye duka la mshikaji yeyote tukiwa tunapiga story za hapa na pale akija mteja kununua kitu akihitaji punguzo anamuacha mwenye duka ananikomalia mimi nipunguzie kwa kudhani mimi ndio mwenye duka.
Hali hii inatokea hata nikipewa lifti, watu wanadhani mwenye gani ni dereva wangu, yaani nimekuwa naonekana boss kila sehemu napoenda wakati mimi muuza simu tena used tu. Kwa vile sipendi sifa hali imekuwa kero kubwa sana kwangu.